Namuona Lokosa kama pacha wa Yikpe

[emoji16][emoji16][emoji16]nyie tunawajua wachezaji wenu wa Bei cheeeee
Umesahau sisi tukileta mchezaji hata kabla hajacheza tayari mmeshahukumu kuwa ni garasa Mtani?

Hivyo huwa mnawapimaje eti?
 
Hivi kuna sttiker wa Afrika Magharibi aliyewahi kutamba kwenye hii ligi yetu?! Huwa naona kama hatuna bahati nao.
Siyo hatuna bahati nao, huwezi kupata striker mzuri toka Afrika Magharibi, aje acheze Simba/Yanga aache ASEC, All ahal, Cotton Sport, Mamelod nk. Huku yanakuja Magarasa.
 
Yikpe anaingia kambani kama hana akili huko Uarabuni. Ni misumari tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…