denooJ
JF-Expert Member
- Mar 31, 2020
- 18,509
- 68,228
Kwa hali inavyoendelea kundi la Simba, kama Al Ahly atashindwa kumfunga Vita Congo basi hatakuwa na njia nyingine zaidi ya kuomba kwa miungu wao Simba SC amfunge AS Vita kwa Mkapa ili angalau Ahly aweze kutinga robo fainali, hasa ukizingatia uwezo wa Simba wakiwa nyumbani.
Hii imekaa hivi, kama Simba atamfunga Msudan kwa Mkapa atafikisha pointi 10 (ushindi hii mechi ni wa muhimu sana), Ahly na Vita wakitoka suluhu Congo wote watakuwa na pointi 5 au kama Ahly ataruhusu kufungwa Congo atabaki na pointi zake 4 wakati Vita atafikisha pointi 7, mechi ya mwisho Vita anamaliza na msudan aliyemtandika 4-1 away, Vita atakuwa nyumbani.
Kwa hali hiyo, game ya Al Ahly Kinshasa ndio fainali yake, akikubali kufungwa amepotea, robo fainali wanaenda Simba SC na AS Vita Club, hapa lazima Al Ahly wapambane wawezavyo watoke na angalau pointi moja Kinshasa kwa usalama wao, vinginevyo wataaga mashindano katika hatua ya makundi kwa mara ya kwanza.
Hii imekaa hivi, kama Simba atamfunga Msudan kwa Mkapa atafikisha pointi 10 (ushindi hii mechi ni wa muhimu sana), Ahly na Vita wakitoka suluhu Congo wote watakuwa na pointi 5 au kama Ahly ataruhusu kufungwa Congo atabaki na pointi zake 4 wakati Vita atafikisha pointi 7, mechi ya mwisho Vita anamaliza na msudan aliyemtandika 4-1 away, Vita atakuwa nyumbani.
Kwa hali hiyo, game ya Al Ahly Kinshasa ndio fainali yake, akikubali kufungwa amepotea, robo fainali wanaenda Simba SC na AS Vita Club, hapa lazima Al Ahly wapambane wawezavyo watoke na angalau pointi moja Kinshasa kwa usalama wao, vinginevyo wataaga mashindano katika hatua ya makundi kwa mara ya kwanza.