Wekeni video nasi tuone ushamba wa bwana harusiHarusi inakua kama Shilole ndo anaoa. Kila anaekuja mbele ni Shilole-Shilole jamaa kazubaa tu. Aisee wacha nitafute pesa
Acha uvivu mkuu hata you tube unapata.Wekeni video nasi tuone ushamba wa bwana harusi
Haya ni majungu Na umbea. Wanaume tunajadili issues sio mambo ya watu. Awe mshamba awe mjanja hautofaidika kamwe Na huyo jamaa. Jenga maisha yako achana Na kufuatilia WANAUME wa watuSijui ni Mimi tu namuona hivo au na wengine wanamuona hivo lakini ukweli ndio huo. Ni mshamba hata kwenye arusi yao alithibitisha ushamba wake
Yaani unavyoongea utafikiri na huyo shilole sio mshamba !kama mume mshamba basi wame maych tofauti yule mwingine no mshamba maarufu tu !Sijui ni Mimi tu namuona hivo au na wengine wanamuona hivo lakini ukweli ndio huo. Ni mshamba hata kwenye arusi yao alithibitisha ushamba wake
Alithibitisha ushamba upi?Sijui ni Mimi tu namuona hivo au na wengine wanamuona hivo lakini ukweli ndio huo. Ni mshamba hata kwenye arusi yao alithibitisha ushamba wake
Upo sahihi kabisa Bujibuji.Haya ni majungu Na umbea. Wanaume tunajadili issues sio mambo ya watu. Awe mshamba awe mjanja hautofaidika kamwe Na huyo jamaa. Jenga maisha yako achana Na kufuatilia WANAUME wa watu
Kumjadili mme wa mtu ni uzwazwa wa kiwango cha juu.Haya ni majungu Na umbea. Wanaume tunajadili issues sio mambo ya watu. Awe mshamba awe mjanja hautofaidika kamwe Na huyo jamaa. Jenga maisha yako achana Na kufuatilia WANAUME wa watu
Usishangae mkuu,huyu ni moja ya wanaume wa darHaya ni majungu Na umbea. Wanaume tunajadili issues sio mambo ya watu. Awe mshamba awe mjanja hautofaidika kamwe Na huyo jamaa. Jenga maisha yako achana Na kufuatilia WANAUME wa watu
Acha wivu@kila mtu kuna namna alivyoumbwa,,hata wewe unajiona mjanja wa town kumbe mshamba tu....sio kila unalolitaka wewe MTU atafanya...nyie wanaume wa dar mna mambo etiii mshamba we acha wivu..Sijui ni Mimi tu namuona hivo au na wengine wanamuona hivo lakini ukweli ndio huo. Ni mshamba hata kwenye arusi yao alithibitisha ushamba wake