Namuona Mume wa Shilole ni Mshamba

Wasukuma woote ni washamba.mf.jpm,bashite,masha etc etc.we tafuta tuu msukuma mmoja mfuatilie.ndo utajua washamba wakoje.au google uone
hahaaaa mkuu mbona basi hata ww ni mshamba tena wa kutupwa km umekubali washamba wakuongoze ww utakua c ndo mshamba wa mwisho
 
It take a time for real man to make women satisfied. Huwezi kujua Shilole kampendea nini Mr Uchebe na ukizingatia kwamba wanaume tumekuwa adimu sana karne hii. Tuwatakie maisha mema na ndoa yenye furaha.
Real Man tupo wachache sana,
sasa hv wanawake wanaolewa mpaka na vichaa
noma nomile.
 
Real Man tupo wachache sana,
sasa hv wanawake wanaolewa mpaka na vichaa
noma nomile.

Vichaa mbona ni afadhari man!
Kwa sasa hivi ukikuta kikundi cha watoto wa kiume 5 basi wanaume hapo ni 2 au 3.

Mwanaume siyo kuvaa suruali tu, man sherehe ni chakula na ndiyo maana kwenye ratiba kinawekwa mwisho. Ushawai kujiuliza kwanini inakuwaga hivyo?!

Narudia man sherehe ni chakula hizo zingine mbwembwe tu.

 
Uchebe ubweche. hivi huyu jamaa hana a.k.a kweli maana hii uchebe mmh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…