Jina lake anaitwa nani?Aliolewa akahamia Canada.
Kwa sasa amerudi mumewe ni mchungaji nadhani wanamtumikia Mungu mkoani Mbeya kwa sasa!
Jina lake kamili anaitwa nani?Alikuwa Mkuu Wa Wilaya Lakini Baadaye Muda Wake Ukaisha
Kwasasa Nadhani Ni Mwanaharakati
Yupo Mbeya ana Mgahawa upo nje ya Sokoine StadiumAliolewa akahamia Canada.
Kwa sasa amerudi mumewe ni mchungaji nadhani wanamtumikia Mungu mkoani Mbeya kwa sasa!
Irene Msokwa baada ya kuolewa.
Soma basi mapaka mwisho ili uelewe...Alikuwa Mkuu Wa Wilaya Lakini Baadaye Muda Wake Ukaisha
Kwasasa Nadhani Ni Mwanaharakati
Yes. Irene Malonga.Irene Msokwa baada ya kuolewa.
Hapo ITV alikuwa anatumia jina la Irene Malonga!
ALIKUA ANAITWA IRENE MWALONGO SIO MALONGAIrene Msokwa baada ya kuolewa.
Hapo ITV alikuwa anatumia jina la Irene Malonga!
Una picha yake recent?Irene Msokwa baada ya kuolewa.
Hapo ITV alikuwa anatumia jina la Irene Malonga!
Hapana anaitwa Irene Malonga sio Mwa ni Malonga
Yule ni mtoto wa mchungaji Malonga na mama yake alikuwa anafanya kazi ITV pia!
Ukishajua anaendeleaje then what wewe ndugu zako wote unajua wanaendeleaje?