Nakubaliana na Kigwangalla kwenye hili. Tatizo letu kubwa kwenye mradi huu ni wizi wa viongozi wa mradi.
Je wanaibaje? Viongozi wanaojinufaisha na mradi huu hawataki kata kata utumiaji wa kadi za mabasi ufanikiwe kwasababu ukifanikiwa hawataweza kuiba. Hivyo kila siku wana hakikisha kuna hitilafu kwenye mabasi kutumia card za nauli ili abiria walazimike kulipa cash pekee. Hivyo hakuna namna nzuri ya kujua ni watu wangapi au kiasi gani kimepatikana
Imefika wakati tumeshidwa hili kiasi kwamba viongozi wanaona kutatua tatizo ni luleta kampuni ya nje !
Hizi kampuni hazitafanya chochote cha ajabu zaidi ya kulazimisha (1) kila abiria anatumia kadi za nauli (2) Mtambo wa kadi unafanya kazi muda wote. Hiyo mitambo haina hitilafu yeyote maana wenzetu wanatumia hiyo hiyo mitandao na kadi na nchi nyingine hawajawahi kupata hizi hitilafu kwa miaka na miaka. Yaani tamaa kiasi kwamba hatuwezi kuendesha chochote
Je wanaibaje? Viongozi wanaojinufaisha na mradi huu hawataki kata kata utumiaji wa kadi za mabasi ufanikiwe kwasababu ukifanikiwa hawataweza kuiba. Hivyo kila siku wana hakikisha kuna hitilafu kwenye mabasi kutumia card za nauli ili abiria walazimike kulipa cash pekee. Hivyo hakuna namna nzuri ya kujua ni watu wangapi au kiasi gani kimepatikana
Imefika wakati tumeshidwa hili kiasi kwamba viongozi wanaona kutatua tatizo ni luleta kampuni ya nje !
Hizi kampuni hazitafanya chochote cha ajabu zaidi ya kulazimisha (1) kila abiria anatumia kadi za nauli (2) Mtambo wa kadi unafanya kazi muda wote. Hiyo mitambo haina hitilafu yeyote maana wenzetu wanatumia hiyo hiyo mitandao na kadi na nchi nyingine hawajawahi kupata hizi hitilafu kwa miaka na miaka. Yaani tamaa kiasi kwamba hatuwezi kuendesha chochote