Namuunga mkono mchezaji aliekataa kuvaa jezi za kuhamasisha ushoga licha ya wenzake kuzivaa

Not to that extent.... Wee jifanye una uhuru wa kutembea na mwanaume mwenzio mtaani umemshika kiuno halafu uone. Inamishwa huko gizani, siyo ulete ufirauni wako hadharani.
Utatufanyaje???
Au tukishikana viuno wewe unawashwa na nini??
Unaacha kupambana utoke kwenye wingu la umaskini unaweka chuki kwa watu wawili walioamua kupendana,
Ndio maana mnazeeka kabla ya umri wenu
 
Unataka dunia iamini kuwa ni kawaida mwanaume kwa mwaume kujamiaana? Haiwezekani! Unazeekea wewe unaebanduliwa na wanaume wenzio. Kama hauna nguvu za kiume, kaa utulie. Kwani ni lazima ushiriki hata kama hauwezi?
Utatufanyaje???
Au tukishikana viuno wewe unawashwa na nini??
Unaacha kupambana utoke kwenye wingu la umaskini unaweka chuki kwa watu wawili walioamua kupendana,
Ndio maana mnazeeka kabla ya umri wenu
 

Maaashallah anajitambua.

I'm so proud to be a muslim
 
Ndio maana huwa nashabikia sana timu za kiarabu/kiislamu zishinde. Hao wengine wakafie mbali huko
 
Ndio maana huwa nashabikia sana timu za kiarabu/kiislamu zishinde. Hao wengine wakafie mbali huko
hii ishu ipo zaidi ya dini, kumbuka kuna wachezji waislamu wengi tu uingereza, ufaransa, spain, ujerumani, italy, n.k. wanavaa hizo jezi bila kupinga.

Pia hio timu mmiliki ni shehe
 
@Pwilo hapa utalaumu dini, JF member, Jf founder au JF members?
 
@Pwilo hapa utalaumu dini, JF member, Jf founder au JF members?
 
Unataka dunia iamini kuwa ni kawaida mwanaume kwa mwaume kujamiaana? Haiwezekani! Unazeekea wewe unaebanduliwa na wanaume wenzio. Kama hauna nguvu za kiume, kaa utulie. Kwani ni lazima ushiriki hata kama hauwezi?
Pole sana unateseka kwa raha za wengine huo ni uchawi,
Uso umejikunja kwa kuubebesha Moyo chuki zisizokua na maana,
Nyie ndio hamtaki hata majirani zenu waweke umeme kisa unatumia kibatari
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…