Namuunga mkono mchezaji aliekataa kuvaa jezi za kuhamasisha ushoga licha ya wenzake kuzivaa

Namuunga mkono mchezaji aliekataa kuvaa jezi za kuhamasisha ushoga licha ya wenzake kuzivaa

Yani mpaka leo sijawahi kuona hiyo movie ambayo mwanaume anampiga denda mwanaume mwenzie.

So nadhani mtu akijifanya yuko bize sana na mamovie ya hao wapuuzi ndio atakumbana na hayo mambo.

Kama mnaangalia movie zao msiwapangie waweke scene gani,kubwlianeni na matokeo hayo kwa sababu hakuna anayewalazimisha kutizama.

Mbona sisi wengine wazee wataarifa ya habari na vipindi vya kijamii pale ITV na TBC hatukutani na hayo mambo ?

Mwana kulitafuta mwana kulipata.

Movie zetu za akina mzee kikala , kombolela, beki tatu na the likes. Utayaona wapi hayo
 
Movie zetu za akina mzee kikala , kombolela, beki tatu na the likes. Utayaona wapi hayo
Vipi umekimbia?uje huku kutetea ndoa za jinsia moja.Sheri za Dini ya kiislamu hazitetewi na mtu au watu,kwani Mwenyezi Mungu akiweka sheria ya kukataza kitu,hakuna mtu wa kupinga au akiruhusu kama kuoa wake zaidi ya mmoja hakuna mtu wa kukataza
 
Usilazimishe mambo kuwa tofauti na yalivyo!

Analipwa kwa kucheza mpira the issue ni wanaomlipa mshahara wanaamini kwa kile anachokipinga yeye?wao wanaamini ushoga ni ruksa yeye kama kweli halitaki hilo basi akatae na hizo pesa zao.
Pesa anazolipwa zinahusiana vipi na ushoga
 
BBC ndio habari zao hizo kila siku
Inamana wao walitunga? au walimnukuu vibaya,akisema,msitete ujinga jamani,au kwa nini yeye asiseme alinukuliwa vibaya.Wewe kama umeamua kumkiri kiongozi wako basi kubalina na misimamo yake ili siku ya siku muhukumiwe wote kwa yale aliyokuwa anayafanya kwa niaba yenu,na kama hukubaliani naye tengana naye sasa hivi utafute njia ya kweli itakayo kusalimisha na kukuokoa
 
Nje ya mada hyo nataka aliyempokea bwana anayepinga hayo mambo wote wapo kimya.
Aisee Arabs brought curse and distraction to midsized thinking Africans...Pardon my language... yaani jamaa anakupa reference wewe hutaki unataka mwajiriwa na si mmiliki...mwenye uwezo wa kulipinga hilo kabla halijawa tatizo ni nani?
Employer au employee?
 
Inamana wao walitunga? au walimnukuu vibaya,akisema,msitete ujinga jamani,au kwa nini yeye asiseme alinukuliwa vibaya.Wewe kama umeamua kumkiri kiongozi wako basi kubalina na misimamo yake ili siku ya siku muhukumiwe wote kwa yale aliyokuwa anayafanya kwa niaba yenu,na kama hukubaliani naye tengana naye sasa hivi utafute njia ya kweli itakayo kusalimisha na kukuokoa
Siku nikisikia inatangazwa rasmi kanisani kuwa kuanzia sasa ndoa za jinsia moja ruksa,au nikashudia padri anafungisha ndoa hizo ndio itakuwa mwisho wa kusali hilo kanisa
 
Kabla hata ya ku refer dini namuunga mkono Idrissa
Mashoga mnalazimisha sana watu wawaunge mkono sijui kwa nini
Kama kuolewa si muolewe tu kwani kuna mtu kawazuia?
 
[emoji817] Kama unagongwa wewe gongwa tu sio mpaka tujue.
Wana taka haki ya kutambulika.
 
Siku nikisikia inatangazwa rasmi kanisani kuwa kuanzia sasa ndoa za jinsia moja ruksa,au nikashudia padri anafungisha ndoa hizo ndio itakuwa mwisho wa kusali hilo kanisa
Pole sana,nimechekee sana,inawezekana hiyo siku isifike halafu wewe ukawa wa kwanza kufa kabla ya kushuhudia hiyo siku basi utaenda kuhukumiwa kama ulliidhia ndoa ya jinsia moja
 
Back
Top Bottom