Kigugumiza
JF-Expert Member
- Mar 7, 2022
- 508
- 687
Si hata papa wao ameridhidhia haya mamboHivi ile dini nyingine wao ushoga kwao umeruhusiwa maana hakuna mfuasi wao hata mmoja anayepinga haya mambo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Si hata papa wao ameridhidhia haya mamboHivi ile dini nyingine wao ushoga kwao umeruhusiwa maana hakuna mfuasi wao hata mmoja anayepinga haya mambo.
Acha unafiki yeye ndiye aliyesema amefanya hivyo sababu ya Dini yake,kwa nini wewe uje umsemeeHili suala jamii kubwa ya kiislam imelichukulia kama ushindi kwa dini yao kiasi kujiona wao hawakosei/wapo straight sana ktk dunia hii ila mimi naamini (japokuwa atajifanya kwa unafiki kusema amefanya sababu ya dini yake) amefanya vile sababu ya asili yake ya Kiafrika.
Ikiwa kweli anaumia na hilo linamchoma nafsi yake ilibidi agome kupewa posho wala mshahara wowote tena aombe kuondoka klabuni hapo immediately ila yupo bado anapokea mshahara kutoka kwa supporters wa mashoga.
Kuliwa jicho hata siku moja haiwezi kuwa Sawa na kusema uongo, hakuna binadamu alie timia ila mwanaume kupakuliwa ni nje ya maumbile
Usilazimishe mambo kuwa tofauti na yalivyo!Analipwa mshahara kwa kucheza mpira
Natabiri vita ya christians vs muslims itatokea hapa kwa kasi ya SGR kwenye huu uzi [emoji87]
Mnafiki ni wewe na yeye,kama alisema alifanya hivyo kwa ajili ya dini yake basi hiyo dini siyo wewe wala yeye mnaoijua.Acha unafiki yeye ndiye aliyesema amefanya hivyo sababu ya Dini yake,kwa nini wewe uje umsemee
katika Dini ya Uisilam pombe ni haram,inaingia katika kundi linalousiana na vilevi ambavyo humbadilisha mtu akili akafanya maasi mfano bangi madawa ya kulevya n.kPombe Ina shida gani kwani?
Ni kosa ndiyo.NAOMBA KUFAHAMU KUANGALIA TU HIZO NEMBO WAKATI HUJUWI LOLOTE KUNA KOSA?
Unajua chuki ni mbaya sana,wewe unachuki na Dini haki ya Mwenyezi Mungu,tena kwa jinsi alivyokuwa mkalimu huyo Rahmani,Rahm hata ukimchukia lakini atakupa riziki kama watu wengine ili atakusubiria siku ya hukumuMnafiki ni wewe na yeye,kama alisema alifanya hivyo kwa ajili ya dini yake basi hiyo dini siyo wewe wala yeye mnaoijua.
Boss wa club muislam anaamini ktk ushoga,wachezaji wenza waislam wenzie wakiwepo wanaamini ktk ushoga,wanashiriki league ambayo kwa 100% inaamini ktk ushoga ila yeye bado anarandana nao,huo ndo unaosemwa ni unafiki ktk hiyo dini ya kiiislam.
Na kama siyo mnafiki saizi angekuwa kwao Senegal akivua samaki na kutembeza watalii acheni porojo tumpongeze kutuwakilisha Waafrica,amefanya vile kwa sababu nature imemkataza siyo kwa sababu ya dini ni wapumbavu tu wataamini hivi.
Dini ipi?? Kuna Dini Zaidi ya 5000 dunianiHivi ile dini nyingine wao ushoga kwao umeruhusiwa maana hakuna mfuasi wao hata mmoja anayepinga haya mambo.
Mkuu mimi nina chuki? how....kusema ukweli ktk dini ya mwenyezi Mungu siku hizi imekuwa chuki? haujioni wewe ndiye unaekosea?Unajua chuki ni mbaya sana,wewe unachuki na Dini haki ya Mwenyezi Mungu,tena kwa jinsi alivyokuwa mkalimu huyo Rahmani,Rahm hata ukimchukia lakini atakupa riziki kama watu wengine ili atakusubiria siku ya hukumu
Huyo mwamba ni Muisilamu au Mkristo?Mkuu mimi nina chuki?how....kusema ukweli ktk dini ya mwenyezi Mungu siku hizi imekuwa chuki?haujioni wewe ndiye unaekosea?
Tuongee fact siyo kila kitu ukiweke ktk mrengo wa dini ukifanya hivi mapema sana utakamatika,tukubaliane kwa pamoja hapa kwamba mwamba ametuwakilisha vyema sisi weusi na bara letu Africa ktk kupingana na hila chafu za wazungu na waarabu kwenye mambo yao ya kishoga.
Au mzee wewe unasemaje?
Achana na hizo dini mkuu tukizungumzia dini hapa iwe Islam au Christianity huyo tayari kama ni mtihani ameshapata “F” ameshafeli.Huyo mwamba ni Muisilamu au Mkristo?
Hadi huzuni aisee!
Mbona unazungukazunguka sana,Papa anasemaje kuhusu ushoga,na ulishawahi kusikia ndoya ya Ushoga imefungwa Msikitini,na upande wa makanisa yanasemaje kuhusu ushoga,Achana na hizo dini mkuu tukizungumzia dini hapa iwe Islam au Christianity huyo tayari kama ni mtihani ameshapata “F” ameshafeli.
Huyo mimi mpaka nakufa naamini amefanya vile kwa msukumo wa asili yake Africa ila yeye labda alishindwa kuuelezea huo msukumo ktk lugha ya kueleweka kirahisi akadandia mgongo wa dini,hakuna dini inayo-support ushoga bali wachache ktk hizo dini wana-support so kama muumini ukiamua kuikataa hii agenda jitenge nao moja kwa moja tena kwa vitendo siyo kwa sitaki nataka.
Muoneni huyu!Mbona unazungukazunguka sana,Papa anasemaje kuhusu ushoga,na ulishawahi kusikia ndoya ya Ushoga imefungwa Msikitini,na upande wa makanisa yanasemaje kuhusu ushoga,
Yani mpaka leo sijawahi kuona hiyo movie ambayo mwanaume anampiga denda mwanaume mwenzie.si kwenye muvi tu, sikuhizi ni mpaka katuni za watoto.
huku kwenye muvi na series wamechochea kuni vibaya mno, yaani kunakuta dume linampiga denda dume lenzake arghhhh, kero tupu
Muoneni huyu!
Haya niambie wewe anachosema Papa kuhusu ushoga,pia nipe hapa link niisome ndoa iliyofungwa ktk Kanisa Catholic analoliongoza Papa nione,napata wasiwasi na kiwango chako cha utambuzi na uchambuzi wa mambo.
Nimeshakwambia ktk hizo imani wapo baadhi ya watu wanao-support huu upumbavu kama ikawa waislam au wakristo sasa sijui unataka nini,tuachane na hayo.
Issue ya Idrisa umeshaelewa kwamba alituwakilisha sisi Waafrica kwa pamoja hata wale wasiokuwa na dini hizi za kuletewa?
Sijui unasemaje hapo