Namuunga mkono Spika Ndugai, ujenzi Bandari ya Bagamoyo uendelee

Well said, hili ni bonge la investment, kwani mataifa mengi huku Africa wanaimezea Sana mate.. Hii opportunity sio ya kuiacha wala kuipuuz

Hapa naona kuna mvutano kati ya Kikwete na mradi wake wa Bagamoyo na Wafuasi wa Mwendazake . Kikwete alishajicommit kwa WACHINA kuhusu mradi huu. Sasa chini ya uongozi wa Magufuli alikuwa hana njia ya kufanikisha azma yake juu ya mradi huo. On the other hand Magufuli had the Standard Gauge Railway as a priority!!

Is it a coincidence that Kikwete is behind this move to revive the project that Magufuli condemned? No, it is not a coincidence because Kikwete believes that he is behind the success and ascent to the presidency of President Samia Suluhu Hassan and hence now is the opportune time to have the Bagamoyo project implemented. He has assembled a team of followers including the Speaker of the National Assembly to spearhead a campaign to resurrect the Bagamoyo project.

Kama mradi wa Bagamoyo utafufuliwa kwa mkopo au njia nyingine ile nini itakuwa hatma ya Miradi mingine ya mkakati? Kikwete na genge lake nia yao ni kuona hiyo Miradi ya Magufuli haikamiliki ili kuonesha kuwa hakufanikiwa kitu katika urais wake. Je wafuasi wa Mwendazake watakubali? Je nchi iko tayari kuacha miradi inayoendelea na kuanza mingine mipya?
 
Mtoa mada umeeleza upande mmoja tu wa mkata kama ni mzuri, i think uo mkataba umeuona namimi kwa nilivyomjua Magufuli alikuwa na uwezo wa kusoma page to page, Magufuli hakuwa mtu wakuletewa document akasaini tu hapana... naamini hii MU iliingia kwenye baraza la Mawaziri ikasomwa kifungu kwa kifungu huku wakipata tafsiri ya mwanasheria mkuu juu ya mitego iliyokuwepo na uenda ata Mh Rais Hayati aliupitia personal...!! Tueleze na kwa upande wa pili huu mkataba ulikuwa na hatari gani kwa nchi yetu?

Maana hii MU iliandaliwa na Wachina wenyewe lazima walijipendelea sana tu. Namimi sitaki kuamini kama Hayati aliukataa bila sababu.
 
Usanifu ulianza 2004 wakati wa mkapa
 
Mimi naunga mkono mradi wowote ambao utaongeza au kuzalisha ajira kwa vijana wa taifa hili. Kiukweli ukiniuliza kati ya bandari na reli ipi itazalisha ajira nyingi nitasema bandari na kwa sababu hiyo Bandari ya Bagamoyo ijengewe mara moja.
 
Hoja hujibiwa kwa hoja!

Tuambie ubaya wa huu mradi kwa hoja zenye ushahidi. Kutumia hoja za uongo za Magufuli kukataa mradi siyo sahihi.

Tuelezeni kwa hoja specific siyo kutukana watu tu kwa kisingizio cha uzalendo uchwara!
Achane porojo wekeni mkataba hadharani Kama Magufuli alidanganya tutaona wenyewe
 
Hizi kelele zenu za bandari ya bagamoyo dawa hii hapa

Biashara ya duka, mtu huwa huingii mkataba wowote na serikali .Unaenda tu kuomba leseni yaliyobaki ya kwako.

Sasa serikali kama inaona kuna uhitaji wa biashara ya bandari itangaze tu kuwa tunahotaji biashara ya bandari hata mia anayehitaji aje aombe leseni ajenge.Mengine yote yake kuanzia kununua ardhi kufidia nk yanabaki kama ambavyo investor wengine wote hufanyiwa

Hii itakomesha huu utapeli wa watu kutaka kuuza nchi kwa mikataba ya kipuuzi .Bandati ni godown tu la mizigo ya nje inayoingia au kutoka hufikia kwenye hilo godown linaloitwa bandari haihitaji mikataba ya ajabu ajabu na serikali kujenga hilo godown la bagamoyo linaloitwa bandari ya bagamoyo

Ajenge godown lake na magodown mengine yataendelea kama yalivyo .Ndio maana ya biashara huria yenye ushindani

Madalali nendeni mkawaambie wajenge kwa pesa zao tutakuwa tu tunakutana nao TRA

Wawekeze tu kama wawekezaji wengine tu .Walete mitaji yao wajenge tukutane TRA lakini kidiwrko kikaratasi chochote cha mkataba kati yao na serikali waje tu.kama wafanyabiashara wawekezaji full stop.

Si sahihi kuuza nchi kwa sababu ya magodown yanayopigiwa debe kujengwa bagamoyo
 
Kati ya Mwendazake na Mkwere nani na mzalendo zaidi? Msisahau HOME SHOPPING CENTRE mbia wa Mkwere ambao mwisho mwisho mwa utawala wa mkwere na mwanzo mwa Utawala wa Magufuli walibadilisha jina na kuitwa GSM!!
 
Tuachane na viongozi hio ni personal zaidi, hao wote washa play part yao, tu stick na huu uwekezaji ambao ulikuwepo mda mwingi mkakati huu toka 2004 kabla ya hao viongozi, hoja yetu Bandari ya Bagamoyo pamoja na matunda yake Kama mleta mada alivyo state kwenye thread hapo juu.. ambao unagharimu $ 10 billions, nanukuu hio sio TZS ni USD.... Kati ya nchi 3, Tz, China & Oman..
 
Mkataba uwekwe wazi, tuone masharti yaliyopo.

Mtoa mada uliwahi sikia maelezo ya Hayati Magufuli kuhusiana na huo mradi? Una kipi cha kusema? Kama hukuwahi kumsikia katafute video aliyozungumzia Bandari, ujisikilizie mwenyewe.

Kama masharti ni yale aliyoyasema Magu, wewe unaona bado ni sawa kuendeleza?
 
Kwasasa simwamini kikwete, Magufuli wala Ndugai. Ninachotaka ni mkataba uwekwe wazi ili tujue nani muongo nani mkweli.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…