Huo uwezo wake unaouona leo ni upi??si alishakuwepo kwenye Baraza la Mawaziri,alichosaidia ni kipi??Hivi Kuna uwezekano huyu dada akaachishwa kazi katika BARAZA la mapinduzi na kuletwa kwenye BARAZA la mawaziri la JMT?? Namwona kama ana uwezo mkubwa sana wa kumsaidia Rais wa jamuhuri ya muungano katika SHUGHULI za Kila siku za kulijenga hili Taifa.
Je Kuna uwezekano waziri akateuliwa kwenye BARAZA la mawaziri la JMT na hivyo automatically kuachana na nafasi huko SMZ?
Sent from my TECNO CI6 using JamiiForums mobile app
Mmepatwa na kitu gani? Hadi akili ikaenda halijojoHivi Kuna uwezekano huyu dada akaachishwa kazi katika BARAZA la mapinduzi na kuletwa kwenye BARAZA la mawaziri la JMT?? Namwona kama ana uwezo mkubwa sana wa kumsaidia Rais wa jamuhuri ya muungano katika SHUGHULI za Kila siku za kulijenga hili Taifa.
Je Kuna uwezekano waziri akateuliwa kwenye BARAZA la mawaziri la JMT na hivyo automatically kuachana na nafasi huko SMZ?
Sent from my TECNO CI6 using JamiiForums mobile app
Hivi kuna uwezekano huyu dada akaachishwa kazi katika BARAZA la mapinduzi na kuletwa kwenye BARAZA la mawaziri la JMT? Namwona kama ana uwezo mkubwa sana wa kumsaidia Rais wa Jamuhuri ya Muungano katika SHUGHULI za kila siku za kulijenga hili Taifa.
Je, kuna uwezekano waziri akateuliwa kwenye Baraza la Mawaziri la JMT na hivyo automatically kuachana na nafasi huko SMZ?
Sent from my TECNO CI6 using JamiiForums mobile app
Alikuwepo MOF hamna jipya business as usual.Hivi kuna uwezekano huyu dada akaachishwa kazi katika BARAZA la mapinduzi na kuletwa kwenye BARAZA la mawaziri la JMT? Namwona kama ana uwezo mkubwa sana wa kumsaidia Rais wa Jamuhuri ya Muungano katika SHUGHULI za kila siku za kulijenga hili Taifa.
Je, kuna uwezekano waziri akateuliwa kwenye Baraza la Mawaziri la JMT na hivyo automatically kuachana na nafasi huko SMZ?
Sent from my TECNO CI6 using JamiiForums mobile app
Alifanya mambo mengi makubwa akiwa waziri wa fedha na mwigulu akiwa naibuHuo uwezo wake unaouona leo ni upi??si alishakuwepo kwenye Baraza la Mawaziri,alichosaidia ni kipi??
Kwenye awamu hii hajawahi kuwa.... Na kama unamaanisha kwamba aliwahi kuwa waziri huko NYUMA hii haizuiii yeye kurudi barazani kwani wako wengi waliwahi kuwa na Sasa wapoAlishakuwepo
Roho mbaya tu, kwanza jibu SWALI kwa uelewa wako je Rais wa jamuhuri anaweza kumchagua waziri wa SMZ kuja kuingia ktk BARAZA la mawaziri wa JMT?? Saada Mkuya Kuna angle naona anaweza kumsaidia Rais sanarubbish
Huyu si ndiye alijisifu mwaka mzima bungeni ameanzisha namba mpya za pikipikiHivi kuna uwezekano huyu dada akaachishwa kazi katika BARAZA la mapinduzi na kuletwa kwenye BARAZA la mawaziri la JMT? Namwona kama ana uwezo mkubwa sana wa kumsaidia Rais wa Jamuhuri ya Muungano katika SHUGHULI za kila siku za kulijenga hili Taifa.
Je, kuna uwezekano waziri akateuliwa kwenye Baraza la Mawaziri la JMT na hivyo automatically kuachana na nafasi huko SMZ?
Sent from my TECNO CI6 using JamiiForums mobile app