- Thread starter
- #21
Simjui hanijui kabisa, nipo mahal huku Barack napambana na hali yangu... Lkn Saada ana uwezoAmekutuma uje umsifie huku?
Sent from my TECNO CI6 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Simjui hanijui kabisa, nipo mahal huku Barack napambana na hali yangu... Lkn Saada ana uwezoAmekutuma uje umsifie huku?
Upumbavu tu nchi Ina tatizo la watu? Au kartibaHivi kuna uwezekano huyu dada akaachishwa kazi katika BARAZA la mapinduzi na kuletwa kwenye BARAZA la mawaziri la JMT? Namwona kama ana uwezo mkubwa sana wa kumsaidia Rais wa Jamuhuri ya Muungano katika SHUGHULI za kila siku za kulijenga hili Taifa.
Je, kuna uwezekano waziri akateuliwa kwenye Baraza la Mawaziri la JMT na hivyo automatically kuachana na nafasi huko SMZ?
Sent from my TECNO CI6 using JamiiForums mobile app
Kwani Zanzibar kuna Ubaya gani akiwa Waziri wa Fedha?Kwenye awamu hii hajawahi kuwa.... Na kama unamaanisha kwamba aliwahi kuwa waziri huko NYUMA hii haizuiii yeye kurudi barazani kwani wako wengi waliwahi kuwa na Sasa wapo
Sent from my TECNO CI6 using JamiiForums mobile app
Kweli, nakuunga mkono na wengi hawajui hiliAlifanya mambo mengi makubwa akiwa waziri wa fedha na mwigulu akiwa naibu
Kwahiyo sisi bara hatuna watu mpk tuje kuongozwa na Saada? nenda kwenu Zanzibar akakuongozeSimjui hanijui kabisa, nipo mahal huku Barack napambana na hali yangu... Lkn Saada ana uwezo
Sent from my TECNO CI6 using JamiiForums mobile app
🚮🚮🚮🚮Hivi kuna uwezekano huyu dada akaachishwa kazi katika BARAZA la mapinduzi na kuletwa kwenye BARAZA la mawaziri la JMT? Namwona kama ana uwezo mkubwa sana wa kumsaidia Rais wa Jamuhuri ya Muungano katika SHUGHULI za kila siku za kulijenga hili Taifa.
Je, kuna uwezekano waziri akateuliwa kwenye Baraza la Mawaziri la JMT na hivyo automatically kuachana na nafasi huko SMZ?
Sent from my TECNO CI6 using JamiiForums mobile app
alishamuwa waziri wa fedhaHivi kuna uwezekano huyu dada akaachishwa kazi katika BARAZA la mapinduzi na kuletwa kwenye BARAZA la mawaziri la JMT? Namwona kama ana uwezo mkubwa sana wa kumsaidia Rais wa Jamuhuri ya Muungano katika SHUGHULI za kila siku za kulijenga hili Taifa.
Je, kuna uwezekano waziri akateuliwa kwenye Baraza la Mawaziri la JMT na hivyo automatically kuachana na nafasi huko SMZ?
Sent from my TECNO CI6 using JamiiForums mobile app
Hakuna muisiharamu mwenye uwezo wa kiakili tz shika haya maneno yangu.kwa sababu muisiharamu kuwa mzalendo ni ndotoHivi kuna uwezekano huyu dada akaachishwa kazi katika BARAZA la mapinduzi na kuletwa kwenye BARAZA la mawaziri la JMT? Namwona kama ana uwezo mkubwa sana wa kumsaidia Rais wa Jamuhuri ya Muungano katika SHUGHULI za kila siku za kulijenga hili Taifa.
Je, kuna uwezekano waziri akateuliwa kwenye Baraza la Mawaziri la JMT na hivyo automatically kuachana na nafasi huko SMZ?
Sent from my TECNO CI6 using JamiiForums mobile app
really? Hata kama una chuki mbaya lakini jaribu basi kujificha angalau kwenye ukweli.Huyu ana diploma ya uhasibu alikuwa naibu kipindi EPA na Richmond hana jipya.
Wengine ni watoto humu...msamehe bure...inawezekana wakati Saada yupo pale kwa Mwigulu pengine yeye bado alikuwa shule...Mmepatwa na kitu gani? Hadi akili ikaenda halijojo
Hivi kuna uwezekano huyu dada akaachishwa kazi katika BARAZA la mapinduzi na kuletwa kwenye BARAZA la mawaziri la JMT? Namwona kama ana uwezo mkubwa sana wa kumsaidia Rais wa Jamuhuri ya Muungano katika SHUGHULI za kila siku za kulijenga hili Taifa.
Je, kuna uwezekano waziri akateuliwa kwenye Baraza la Mawaziri la JMT na hivyo automatically kuachana na nafasi huko SMZ?
Sent from my TECNO CI6 using JamiiForums mobile app
Ni huyu Saada mwenye diploma 3 ambazo ukizikisanya zinakuwa Masters?Hivi kuna uwezekano huyu dada akaachishwa kazi katika BARAZA la mapinduzi na kuletwa kwenye BARAZA la mawaziri la JMT? Namwona kama ana uwezo mkubwa sana wa kumsaidia Rais wa Jamuhuri ya Muungano katika SHUGHULI za kila siku za kulijenga hili Taifa.
Je, kuna uwezekano waziri akateuliwa kwenye Baraza la Mawaziri la JMT na hivyo automatically kuachana na nafasi huko SMZ?
Sent from my TECNO CI6 using JamiiForums mobile app