Wachawi ndio mida yao hii, mwamba anamletea uchawi kocha.Eeeh usiku wote huu.😅
tunazikia wapi kaka..?Kama wameamua kujivika sanda wenyewe hata November ni mbali
Ndoto!Rejea kichwa cha habari hapo juu kama umeelewa kila la kheri ujaelewa tukutane tar 2 nov hapa ndani
Usikumwema
Kwahisani ya Ubaya ubwela
Kwa masaa ya wapi?Eeeh usiku wote huu.😅