Namwonea sana huruma Mpenzi wangu, Ntachomfanya atajuta kunifahamu.

Tamaa hizi zina tupeleka pabaya sana dada wa watu ata jisikiaje hapo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Brother angalia wenzio tunawalilia kuwapata
any way maamuz yako
omba mungu utakae mpata afanye kama yeye ikiwa tofauti UTALETA UZI UMU JF KUWALAUMU WANAWAKE
dont be lazy sio lazma umzid mku

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii stori haina tofauti na yanayonitokea ila kwangu ni more complicated kwa vile ninayempenda ananipenda sana na huyu nlie nae ananipenda sana pia ila hisia na upendo vipo Kwa wa kwanza. Na wote ni wife material(hawaombi hela , wanajali kupita maelezo na wamenizidi upendo wangu kwao).
 
Aiseee umeniwai nilitaka kumpa jibu hilohilo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahahaaaa! Amekuzidi vingi sana,,,,umri,kimo,upendo,huruma kujiamini na hata uvumilivu. Wanawake wengi hawapendi kutembea au kuolewa na Zakayo. Huyo mwanamke kakupenda, mwoe halafu fanya mazoezi ya kumpenda.Umri ni namba tu mkuu
 
Girl friend tafuta mzuri lakini tafuta mke anae kuelewa.[/QUOTE]

Status yangu ya kesho hii WhatsApp[emoji3] [emoji122] [emoji482]
 
Damaged women ndo wa aiana gani hao?

Sent using Jamii Forums mobile app
huenda nikaelezea mambo ambayo watu watanifikiri kinamna nyingine ila kikubwa unaweza angalia hata mitandaoni mambo ya mahusiano na maisha kiujumla maarifa yanasomwa mkuu ukipitia vitabu nakala za watu utafahamu mengi si juu ya wanawake tu hapana hata juu ya maisha yetu (yako na yangu)

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…