Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa amekupitaje urefu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] me sio andunje mkuu !
[emoji3] Nimekoma sana nipate msichana wa hivyo tena siwezi kuuchezea upendo tena hutokeaga mara chache sana.ndo ulikoma 🙂
Yaani akuachie wewe utongoze ule mzigo au unataka wife kabisa..be serious msichezee maisha ya watu wengine,we live once and every human anahitaji good treatment and to be loved.Ila mjamaa anayetaka kumuacha akifanikiwa kumuacha naye atakuja kula za uso mbele ya safari.Mkuu usipate tabu nipe mimi uyo mwanamke nimchukue mazima, cha kufanya nipm tu namba yake mengine niachie mimi. Na ninakuhakikishia ndani ya siku mbili atakuja kukuacha yeye mwenyewe. Sijisifii ila kwenye sekta ya kutongoza wanawake nipo vizuri sana natongoza mpaka mwanamke analia, kamasi zinatoka akitoka hapo anaenda chooni kuharisha.
"Typed with my thumbs."
Nambie uboya wake huyooo.Wewe ni boya
Mwenyewe anajuaNambie uboya wake huyooo.
Ni mfupi sana, sasa hataki kumuoa anaogopa kusonkolwa wakiwa wanabishana maana dem kapanda hewani
Chief unataka nini tena hapo???Habari wanaJF, am sure mkopoa sana ndugu zangu..
LET NIENDE KWENYE MADA MOJA KWA MOJA..
Wakati nipo chuo nilibahatika kupata mpenzi ambae kiukwel nilimtongoza kwa kujaribu tu lakini chakushangaza ni kwamba akanikubalia tu bila kujua sikua serious... nikaona isiwetabu nikawa nae kwenye mahusiano mpaka wakati huu naandika hii thread ndo mpenzi wangu actually pamoja na kwamba michepuko ipo lakini yeye ndo amekua currently kwa sababu
1)Hajawahi kuniomba pesa ingawa me ndo nikiwa nakipengele nikimwambia nashida na pesa huwa ananipa bila kinyongo_
2)Hana michepuko hii ni kwasababu naweza kukaa nasimu yake hata siku 3 na nisigundue chochote licha ya yeye kukuta sana sms za michepuko kwenye simu yangu_
3)She care about me
yani nikimwambia siko poa au naumwa yupo tayari kuacha kazi zake zote nakuja kunihudumia
4)Ni mtam yani papuchi ake hua ananipa muda wowote kiukwel hua naenjoy sana mapenzi yke
SHIDA NI NINI_
Shida ni kwamba pamoja na hayo yote ni kwamba nafsi yangu haijaridhia na wala sidhani kama naweza kumuoa yeye... Yani am sure ananipenda sana but kwa kweli cfikilii kumuoa yeye kabisa
SABABU NI NINI_
Sababu ni kwamba amenizidi umri, chapili ni kwamba amenizidi urefu kitu ambacho sijakipenda kwa kweli
chatatu ni kwamba simpendi tu alivyo...
So nimekua nikiwaza sana jinsi ya kumuacha' yan namuonea sana huruma kwa kua yeye anafikili me ndo mwanaume wake wa maisha' kitu ambacho hakipo kabisa kwenye akili yngu...
Naombeni ushauli ndugu zangu' nitumie mbinu gani kumuacha huyu bidada mana kwa umli wake sasa hivi anahitaji ndoa~~ while binafsi kuoa sio leo wala kesho,, na hata nikitaka kuoa siwezi kumuoa yeye'
Totally correctMake up your mind utakuwa nae au unamuacha? Ukitaka kumuua nyani usimuangalie usoni.
Kwenye ndoa za amani na furaha ni umpate mwanamke anaekupenda. Atayavumilia mapungufu yako yote, iwe pesa, tendo la ndoa au kunuka mdomo.
Wengi wanaishi navwanawake wasiowapenda lakini wamewazoea kwakuwa mke anampenda kufa.
Fikiria mmegombana hamuongei ndani ya nyumba lakini amesikia mama yako ni mgonjwa amekimbia na kumuwahisha hospitali. Anamnunulia night dress mpya na vitenge, mswaki, lotion . Ukienda kumuona mama yako mwenyewe roho inaridhika ingawa ni mgonjwa lakini ni msafi.
Girl friend tafuta mzuri lakini tafuta mke anae kuelewa.
Mwambie ainjoi mara ya mwisho tehHa ha ha....uliliza wengi kuumbe[emoji4], basi nikuhakikishie siku yako yaja
Sent using Jamii Forums mobile app
Uzuri ni kwamba, pale Mungu anapokupa anayekufaa ukamwona hafai basi hukupa unayemtaka ww ila utakachokipata ni siri yako.Habari wanaJF, am sure mkopoa sana ndugu zangu..
LET NIENDE KWENYE MADA MOJA KWA MOJA..
Wakati nipo chuo nilibahatika kupata mpenzi ambae kiukwel nilimtongoza kwa kujaribu tu lakini chakushangaza ni kwamba akanikubalia tu bila kujua sikua serious... nikaona isiwetabu nikawa nae kwenye mahusiano mpaka wakati huu naandika hii thread ndo mpenzi wangu actually pamoja na kwamba michepuko ipo lakini yeye ndo amekua currently kwa sababu
1)Hajawahi kuniomba pesa ingawa me ndo nikiwa nakipengele nikimwambia nashida na pesa huwa ananipa bila kinyongo_
2)Hana michepuko hii ni kwasababu naweza kukaa nasimu yake hata siku 3 na nisigundue chochote licha ya yeye kukuta sana sms za michepuko kwenye simu yangu_
3)She care about me
yani nikimwambia siko poa au naumwa yupo tayari kuacha kazi zake zote nakuja kunihudumia
4)Ni mtam yani papuchi ake hua ananipa muda wowote kiukwel hua naenjoy sana mapenzi yke
SHIDA NI NINI_
Shida ni kwamba pamoja na hayo yote ni kwamba nafsi yangu haijaridhia na wala sidhani kama naweza kumuoa yeye... Yani am sure ananipenda sana but kwa kweli cfikilii kumuoa yeye kabisa
SABABU NI NINI_
Sababu ni kwamba amenizidi umri, chapili ni kwamba amenizidi urefu kitu ambacho sijakipenda kwa kweli
chatatu ni kwamba simpendi tu alivyo...
So nimekua nikiwaza sana jinsi ya kumuacha' yan namuonea sana huruma kwa kua yeye anafikili me ndo mwanaume wake wa maisha' kitu ambacho hakipo kabisa kwenye akili yngu...
Naombeni ushauli ndugu zangu' nitumie mbinu gani kumuacha huyu bidada mana kwa umli wake sasa hivi anahitaji ndoa~~ while binafsi kuoa sio leo wala kesho,, na hata nikitaka kuoa siwezi kumuoa yeye'
Damaged women ndo wa aiana gani hao?aisee hivi vitu jaribuni hata kuyoutube vijana wenzangu umri sio tatizo kama ana akili ya maisha nenda naee kikubwa asiwe damaged women basii ila kama ni damaged huwezi mbadili maisha yako yoteee
Sent using Jamii Forums mobile app
Nikiandunje tuuNi mfupi sana, sasa hataki kumuoa anaogopa kusonkolwa wakiwa wanabishana maana dem kapanda hewani