Namwonea sana huruma Mpenzi wangu, Ntachomfanya atajuta kunifahamu.

Namwonea sana huruma Mpenzi wangu, Ntachomfanya atajuta kunifahamu.

moja ya tabia ya mjinga,ni kujona yeye ni mwerevu na kila mtu ni mjinga,sasa wewe unadhani kuwa huyo mpenzi wako huo ujinga wako haujui,na hujui kuwa anakutega vibaya sana,na siku ambayo atakayo strike,wewe hutaijua na atakupasukia na kukuabisha vibaya,hiyo siku ndiyo utakayojua,kumbe wewe zuzu

Sent using Jamii Forums mobile app

Kivipi mkuu? mana nina uhakika hajui kitu chochote ambacho kipo moyoni mwangu kwakua cjawahi kumuoneshea tofaut yeyote ile
 
huu uzi ukija kuusoma baada ya miaka kadhaa na aswa kuanzian mmoja natena kama utakua umeachana na uyo mwanamke utajiona mjinga wamwisho.

Ushauri;
Mwanamke ndie ambae anatakiwa akupende for a r'ship to last.


Sent from my iPhone using JamiiForums

Unamaanisha nisiachane naye huyu mwanamke? mana ki ukwel she treat me but ndo kama hivo!
 
IMG_4994.JPG
🤦🏾‍♂️🤦🏾‍♂️[emoji18]
 
Acha sasa, na baadae uonje machungu ya kuachwa, ulitaka umpende yeye akupe shida, sasa subiri huyo umpendae ukione cha moto.

Kijana unasikitisha kweli, mwanamke anakupenda na kukujali ....unasema simpendi alivyo, ati kanizidi umri, mrefu mwisho wa siku unakiri kuwa mtamu.

Nashauri ubaki tuu na jenga tabia ya kumheshimu zaidi na Omba kwa Mungu aingize mawada, mapenzi na huruma moyoni mwako kwa ajili yake. Huyo ndo mkeo acha ungese boy.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
MOYO wa mtu NI KICHAKA MKUU,,,,hayo unayowaza WEWE LEO,, pengine NA YEYE aliyawaza TANGU JANA,,akuache VIPI? anawaza utapata taabu sn,,USHAZOEA KUPEWA PESA,,NK...pengine anawaza utapata wapi MWANAMKE usawa huu AKUFANYE MARIOO kama anavyokufanya WEWE,,,, ukitaka KUACHA wacha tu MKUU,,, AKUNYIMAE KUNDE*******

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna uzi humu mdada analalamika kuchezewa na jamaa yake halafu anataka kumuacha mwishoni na dada kapanga kumchoma sindano sijui ya ukimwi sijui ya kitu gani

Kuwa makini labda ndiyo yeye alishakugundua Mkuu
 
Habari wanaJF, am sure mkopoa sana ndugu zangu..

LET NIENDE KWENYE MADA MOJA KWA MOJA..

Wakati nipo chuo nilibahatika kupata mpenzi ambae kiukwel nilimtongoza kwa kujaribu tu lakini chakushangaza ni kwamba akanikubalia tu bila kujua sikua serious... nikaona isiwetabu nikawa nae kwenye mahusiano mpaka wakati huu naandika hii thread ndo mpenzi wangu actually pamoja na kwamba michepuko ipo lakini yeye ndo amekua currently kwa sababu
1)Hajawahi kuniomba pesa ingawa me ndo nikiwa nakipengele nikimwambia nashida na pesa huwa ananipa bila kinyongo_

2)Hana michepuko hii ni kwasababu naweza kukaa nasimu yake hata siku 3 na nisigundue chochote licha ya yeye kukuta sana sms za michepuko kwenye simu yangu_

3)She care about me
yani nikimwambia siko poa au naumwa yupo tayari kuacha kazi zake zote nakuja kunihudumia

4)Ni mtam yani papuchi ake hua ananipa muda wowote kiukwel hua naenjoy sana mapenzi yke

SHIDA NI NINI_

Shida ni kwamba pamoja na hayo yote ni kwamba nafsi yangu haijaridhia na wala sidhani kama naweza kumuoa yeye... Yani am sure ananipenda sana but kwa kweli cfikilii kumuoa yeye kabisa

SABABU NI NINI_

Sababu ni kwamba amenizidi umri, chapili ni kwamba amenizidi urefu kitu ambacho sijakipenda kwa kweli
chatatu ni kwamba simpendi tu alivyo...

So nimekua nikiwaza sana jinsi ya kumuacha' yan namuonea sana huruma kwa kua yeye anafikili me ndo mwanaume wake wa maisha' kitu ambacho hakipo kabisa kwenye akili yngu...

Naombeni ushauli ndugu zangu' nitumie mbinu gani kumuacha huyu bidada mana kwa umli wake sasa hivi anahitaji ndoa~~ while binafsi kuoa sio leo wala kesho,, na hata nikitaka kuoa siwezi kumuoa yeye'
Kama anakupenda kiasi hicho, nawe mpende vivyohivyo usimuache utamuumiza sana. Ukipendwa pendeka mkuu, imagine ukifanyiwa hivyo ww au mdogo ako au dada ako, feel the pain you will cause to her the decide
 
Mkuu usipate tabu nipe mimi uyo mwanamke nimchukue mazima, cha kufanya nipm tu namba yake mengine niachie mimi. Na ninakuhakikishia ndani ya siku mbili atakuja kukuacha yeye mwenyewe. Sijisifii ila kwenye sekta ya kutongoza wanawake nipo vizuri sana natongoza mpaka mwanamke analia, kamasi zinatoka akitoka hapo anaenda chooni kuharisha.

"Typed with my thumbs."
[emoji849][emoji849][emoji849][emoji23][emoji23][emoji23]kuharisha tena!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna uzi humu mdada analalamika kuchezewa na jamaa yake halafu anataka kumuacha mwishoni na dada kapanga kumchoma sindano sijui ya ukimwi sijui ya kitu gani

Kuwa makini labda ndiyo yeye alishakugundua Mkuu

Hawezi kuwa yeye mkuu mana yeye kwa sasa hataki smartphone kwa madai ya kwamba hataki kuona madem ambao sometimes nawaweka whatsapp status. Kingine ni kwamba nina uhakika hatumii JF ' na hua ananishangaa sana akiniona niko busy na JF kwa madai ya kuwa JF ni mtandao ambao yeye haupendi kabisa!!
 
Dahh!! that's why nakua nahuruma mana am sure kinaweza nitokea pia huko mbele!!!

Kujiweka busy kutokupokea sim zake ndo cwez kabisa hio [emoji2365] labda nipoteze mawasiliano nae kabisa
lakini shida ni kwamba ana number ya simu ya mama angu mzazi na hua wanaongea sana tu japo hawajawahi kuonana.. Pia ana number za mdogo wangu__ kitu kingine ana number ya my best friend!!
Oya chalii kazi unayo aisee, demu anajitoa kwa ajili yako, hakuombi hela [emoji16] [emoji16] (which is very rare), lakini kikubwa kuliko huwa anaongea hadi na mama yako mzazi (It seems yupo in good terms with your mum).Daah, tuliza tu mihemuko. Coz trust me ukimwacha huyo karma will fcuk you ten times back.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Anza kupunguza ukaribu, uwe busy kila akikupigia wewe una kazi lakini ahidi kumtafuta ukiwa free, ikipita mwezi mmoja miwili ataelewa somo.

NB: the law of life your time will come, you will fall in love with a person who doesn’t have feelings for you. That’s the way it’s.
[emoji122][emoji122][emoji122]malipo ni hapa hapa duniani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha sasa, na baadae uonje machungu ya kuachwa, ulitaka umpende yeye akupe shida, sasa subiri huyo umpendae ukione cha moto.

Kijana unasikitisha kweli, mwanamke anakupenda na kukujali ....unasema simpendi alivyo, ati kanizidi umri, mrefu mwisho wa siku unakiri kuwa mtamu.

Nashauri ubaki tuu na jenga tabia ya kumheshimu zaidi na Omba kwa Mungu aingize mawada, mapenzi na huruma moyoni mwako kwa ajili yake. Huyo ndo mkeo acha ungese boy.

Sent using Jamii Forums mobile app

OK mkuu asante kwa USHAURI
Ila actually ni kwamba napenda mapenz yake' na nina uhakika nikimwacha lazima ntamkumbuka tuu !!
 
2)Hana michepuko hii ni kwasababu naweza kukaa nasimu yake hata siku 3 na nisigundue chochote licha ya yeye kukuta sana sms za michepuko kwenye simu yangu_
Kwani kwa sasa sheria inasema maximum mtu anatakiwa kuwa na laini ngapi?! Kwani Nokia ya Obama inauzwa shilingi ngapi?!
 
Dahh!! that's why nakua nahuruma mana am sure kinaweza nitokea pia huko mbele!!!

Kujiweka busy kutokupokea sim zake ndo cwez kabisa hio [emoji2365] labda nipoteze mawasiliano nae kabisa
lakini shida ni kwamba ana number ya simu ya mama angu mzazi na hua wanaongea sana tu japo hawajawahi kuonana.. Pia ana number za mdogo wangu__ kitu kingine ana number ya my best friend!!
[emoji849][emoji849][emoji849]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwani kwa sasa sheria inasema maximum mtu anatakiwa kuwa na laini ngapi?! Kwani Nokia ya Obama inauzwa shilingi ngapi?!

Ana line mbili tu za cm na zote hua zipo kwenye sim moja ambayo huwa ananiachia!!!
 
Back
Top Bottom