moja ya tabia ya mjinga,ni kujona yeye ni mwerevu na kila mtu ni mjinga,sasa wewe unadhani kuwa huyo mpenzi wako huo ujinga wako haujui,na hujui kuwa anakutega vibaya sana,na siku ambayo atakayo strike,wewe hutaijua na atakupasukia na kukuabisha vibaya,hiyo siku ndiyo utakayojua,kumbe wewe zuzu
Sent using Jamii Forums mobile app
huu uzi ukija kuusoma baada ya miaka kadhaa na aswa kuanzian mmoja natena kama utakua umeachana na uyo mwanamke utajiona mjinga wamwisho.
Ushauri;
Mwanamke ndie ambae anatakiwa akupende for a r'ship to last.
Sent from my iPhone using JamiiForums
Kama anakupenda kiasi hicho, nawe mpende vivyohivyo usimuache utamuumiza sana. Ukipendwa pendeka mkuu, imagine ukifanyiwa hivyo ww au mdogo ako au dada ako, feel the pain you will cause to her the decideHabari wanaJF, am sure mkopoa sana ndugu zangu..
LET NIENDE KWENYE MADA MOJA KWA MOJA..
Wakati nipo chuo nilibahatika kupata mpenzi ambae kiukwel nilimtongoza kwa kujaribu tu lakini chakushangaza ni kwamba akanikubalia tu bila kujua sikua serious... nikaona isiwetabu nikawa nae kwenye mahusiano mpaka wakati huu naandika hii thread ndo mpenzi wangu actually pamoja na kwamba michepuko ipo lakini yeye ndo amekua currently kwa sababu
1)Hajawahi kuniomba pesa ingawa me ndo nikiwa nakipengele nikimwambia nashida na pesa huwa ananipa bila kinyongo_
2)Hana michepuko hii ni kwasababu naweza kukaa nasimu yake hata siku 3 na nisigundue chochote licha ya yeye kukuta sana sms za michepuko kwenye simu yangu_
3)She care about me
yani nikimwambia siko poa au naumwa yupo tayari kuacha kazi zake zote nakuja kunihudumia
4)Ni mtam yani papuchi ake hua ananipa muda wowote kiukwel hua naenjoy sana mapenzi yke
SHIDA NI NINI_
Shida ni kwamba pamoja na hayo yote ni kwamba nafsi yangu haijaridhia na wala sidhani kama naweza kumuoa yeye... Yani am sure ananipenda sana but kwa kweli cfikilii kumuoa yeye kabisa
SABABU NI NINI_
Sababu ni kwamba amenizidi umri, chapili ni kwamba amenizidi urefu kitu ambacho sijakipenda kwa kweli
chatatu ni kwamba simpendi tu alivyo...
So nimekua nikiwaza sana jinsi ya kumuacha' yan namuonea sana huruma kwa kua yeye anafikili me ndo mwanaume wake wa maisha' kitu ambacho hakipo kabisa kwenye akili yngu...
Naombeni ushauli ndugu zangu' nitumie mbinu gani kumuacha huyu bidada mana kwa umli wake sasa hivi anahitaji ndoa~~ while binafsi kuoa sio leo wala kesho,, na hata nikitaka kuoa siwezi kumuoa yeye'
[emoji849][emoji849][emoji849][emoji23][emoji23][emoji23]kuharisha tena!!Mkuu usipate tabu nipe mimi uyo mwanamke nimchukue mazima, cha kufanya nipm tu namba yake mengine niachie mimi. Na ninakuhakikishia ndani ya siku mbili atakuja kukuacha yeye mwenyewe. Sijisifii ila kwenye sekta ya kutongoza wanawake nipo vizuri sana natongoza mpaka mwanamke analia, kamasi zinatoka akitoka hapo anaenda chooni kuharisha.
"Typed with my thumbs."
nipe no ake nimtext msg ya mapenzi ukiwa nae(utachukua yang na kuniambia tuma nipo nae), tiyari unapata kisingizio cha kumuacha kwa kumsema kuwa ni malaya!!Hebu niambie mkuu namuachaje huyu mdada hebu nipe technic!!
Kuna uzi humu mdada analalamika kuchezewa na jamaa yake halafu anataka kumuacha mwishoni na dada kapanga kumchoma sindano sijui ya ukimwi sijui ya kitu gani
Kuwa makini labda ndiyo yeye alishakugundua Mkuu
Oya chalii kazi unayo aisee, demu anajitoa kwa ajili yako, hakuombi hela [emoji16] [emoji16] (which is very rare), lakini kikubwa kuliko huwa anaongea hadi na mama yako mzazi (It seems yupo in good terms with your mum).Daah, tuliza tu mihemuko. Coz trust me ukimwacha huyo karma will fcuk you ten times back.Dahh!! that's why nakua nahuruma mana am sure kinaweza nitokea pia huko mbele!!!
Kujiweka busy kutokupokea sim zake ndo cwez kabisa hio [emoji2365] labda nipoteze mawasiliano nae kabisa
lakini shida ni kwamba ana number ya simu ya mama angu mzazi na hua wanaongea sana tu japo hawajawahi kuonana.. Pia ana number za mdogo wangu__ kitu kingine ana number ya my best friend!!
tuma no. kaka, wadaka chozi hatujawahi kufanya makosa!!Ok mkuu hamna shida naku p m no yke [emoji28][emoji28]
Angalizo, huwa ana kawaida ya kunitumia number za mtu yeyote asie muelewa au kumjua!
[emoji122][emoji122][emoji122]malipo ni hapa hapa dunianiAnza kupunguza ukaribu, uwe busy kila akikupigia wewe una kazi lakini ahidi kumtafuta ukiwa free, ikipita mwezi mmoja miwili ataelewa somo.
NB: the law of life your time will come, you will fall in love with a person who doesn’t have feelings for you. That’s the way it’s.
Acha sasa, na baadae uonje machungu ya kuachwa, ulitaka umpende yeye akupe shida, sasa subiri huyo umpendae ukione cha moto.
Kijana unasikitisha kweli, mwanamke anakupenda na kukujali ....unasema simpendi alivyo, ati kanizidi umri, mrefu mwisho wa siku unakiri kuwa mtamu.
Nashauri ubaki tuu na jenga tabia ya kumheshimu zaidi na Omba kwa Mungu aingize mawada, mapenzi na huruma moyoni mwako kwa ajili yake. Huyo ndo mkeo acha ungese boy.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani kwa sasa sheria inasema maximum mtu anatakiwa kuwa na laini ngapi?! Kwani Nokia ya Obama inauzwa shilingi ngapi?!2)Hana michepuko hii ni kwasababu naweza kukaa nasimu yake hata siku 3 na nisigundue chochote licha ya yeye kukuta sana sms za michepuko kwenye simu yangu_
[emoji849][emoji849][emoji849]Dahh!! that's why nakua nahuruma mana am sure kinaweza nitokea pia huko mbele!!!
Kujiweka busy kutokupokea sim zake ndo cwez kabisa hio [emoji2365] labda nipoteze mawasiliano nae kabisa
lakini shida ni kwamba ana number ya simu ya mama angu mzazi na hua wanaongea sana tu japo hawajawahi kuonana.. Pia ana number za mdogo wangu__ kitu kingine ana number ya my best friend!!
[emoji24][emoji24]so sorry Sky EclatHujaamua tu, wakwangu alipoamua alikuwa busy busy. Kwakuwa na mimi niko busy ilipita miezi mitatu sijamuona lakini tunaongea. Christmas na New Year nilikuwa na vi holiday kazini nikapanga plans niwe na mupenzi ndipo nilipojua he was long gone.
Hama hapo unapokaa uende mbali utamsahau tu.OK mkuu asante kwa USHAURI
Ila actually ni kwamba napenda mapenz yake' na nina uhakika nikimwacha lazima ntamkumbuka tuu !!