mwanamabadiliko
JF-Expert Member
- Oct 30, 2010
- 938
- 1,540
Aisee muziki wa nana ndo wa kwanza tanzania kufikisha watazamaji milioni ishirini katika nchi ya tanzania. muimbaji ni diamond, nataka tumpongeze
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aisee muziki wa nana ndo wa kwanza tanzania kufikisha watazamaji milioni ishirini katika nchi ya tanzania. muimbaji ni diamond, nataka tumpongeze
OG ngapi mkuuikifuatiwa na My number one Remix 19m
Sio vibaya ikiwekwa Sanamu yake maeneo hayo....kiasi itavuta hisia za watu katika imani ya Lusifer....maana Sanamu litaelekeza ulipo Msikiti na Kanisa la Illuminati (freemason)...Naskia hata ule mnara wa askari wa posta ule ndio wana ufanyia marekebisho awekwe diamond kama waheshimiwa wabunge wa jamuhuri ya muungano walivo omba.
Ki ukweli domo amefanikiwa ki muziki