nzagambadume
JF-Expert Member
- Apr 9, 2018
- 2,430
- 5,779
Why don’t they just pull up and throw hands?
Scared.
You marehemu umefufuka lini?Why don’t they just pull up and throw hands?
Scared.
Nyani umerudi?Why don’t they just pull up and throw hands?
Scared.
You marehemu umefufuka lini?
Nyani umerudi?
Watu walisema ww ni kibonde humu kisa umepotea baada ya msiba,Kwani niliondoka?
Ulikufa pamoja na kibonde vipi ulizikwa na TECNO phantom?Nilikufa lini?
Ulikufa pamoja na kibonde vipi ulizikwa na TECNO phantom?
Umeona eeh! Alafu sijui wanapata faida gani! Mi nadhani ni wagonjwa hawa wanahitaji msaadaKuna watu wanapenda kuabudiwa
Watu walisema ww ni kibonde humu kisa umepotea baada ya msiba,
Ni watu ambao nyumban kwao hawaheshimiki wanakuja kutisha watu mitandaoni.Umeona eeh! Alafu sijui wanapata faida gani! Mi nadhani ni wagonjwa hawa wanahitaji msaada
Jibuni hoja, acheni virojaa.Umeona eeh! Alafu sijui wanapata faida gani! Mi nadhani ni wagonjwa hawa wanahitaji msaada
Hoja gani mkuuJibuni hoja, acheni virojaa.
My bad kuna mtu kanitag hapa nimechanganya threads.Hoja gani mkuu
Kumbe Mange anaishi InglewoodYalimpokuta hamisa kutolewa siri zake na huyo mtu kisha akahamia kwako na kukusifia kila siku ukaonywa ipo siku yako sasa ona leo yaliyotokea hadi umeamua kumblock ngoja tusubiri aanze kumwaga masiri yako
Na kama ni yule dada wa Inglewood LA basi nampa sifa maana ni kama pyschopath ana personality mbili ananikumbusha jinsi the late Richard pryor au jim carrey wanavyoweza kuigiza personality mbili au zaidi ,au kama james mc avoy kwenye mr Glass
View attachment 1142261View attachment 1142262View attachment 1142263View attachment 1142261View attachment 1142262View attachment 1142263