nzagambadume
JF-Expert Member
- Apr 9, 2018
- 2,430
- 5,779
- Thread starter
- #21
kutoka beach ya florida hadi inglewood kwa maselaKumbe Mange anaishi Inglewood
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kutoka beach ya florida hadi inglewood kwa maselaKumbe Mange anaishi Inglewood
Kumbe Mange anaishi Inglewood
Anhaa, au kule kwny biblia?My bad kuna mtu kanitag hapa nimechanganya threads.
karibu kwenye umbeya mkuu kiranga siyo kila siku una discuss topic ngumungumu za mambo ya Sir GodMy bad kuna mtu kanitag hapa nimechanganya threads.
Kuna watu wanapenda kuabudiwa
mkuu kwani kuna mashindano ya kuleta thread?hii ni thread ya pili unanizodoa kunilinganisha na warumi unajua jamii forum ni user generated content?sasa fanya hivi subscribe kwenye posts za warumi kila akipost utakuwa notified halafu niweke mimi nzagambadume kwenye ignore list ili usipate tabu na kero ya kusoma threads zanguwarumi tupe umbea vizuri maana naona kuna watu wanakuiga ila hata nusu hawakufikii
Mimi nafika mpaka topic za Uwanja wa Fisi, napita Argentina nakatiza kwa Mfuga mbwa pale karibu na darajani naingia kuchanganyika na machizi wa mnanda huko kupata vibe la kitaa.karibu kwenye umbeya mkuu kiranga siyo kila siku una discuss topic ngumungumu za mambo ya Sir God
Muungwana akikosolewa anakubali ushauri na kujirekebisha.mkuu kwani kuna mashindano ya kuleta thread?hii ni thread ya pili unanizodoa kunilinganisha na warumi unajua jamii forum ni user generated content?sasa fanya hivi subscribe kwenye posts za warumi kila akipost utakuwa notified halafu niweke mimi nzagambadume kwenye ignore list ili usipate tabu na kero ya kusoma threads zangu
hahahahahaaaaMimi nafika mpaka topic za Uwanja wa Fisi, napita Argentina nakatiza kwa Mfuga mbwa pale karibu na darajani naingia kuchanganyika na machizi wa mnanda huko kupata vibe la kitaa.
ndiyo style yangu mheshimiwa na ni haki yangu kuanzisha thread hapa jf lakini na wewe kuwa muungwana nimekupa ushauri,niweke kwenye ignore list ili usipate shida na kero ya kusoma umbeya ulioko shallowMuungwana akikosolewa anakubali ushauri na kujirekebisha.
Ukweli ni kwamba unaandika gossips too shallow as if unamuogopa nani sijui.
warumi anajua kuchambua.
Hata ukichukia nitakuambia tu!
Kazi ipo wapi na wewe naye?Kazi ipo
HhaaaaaaaWatu walisema ww ni kibonde humu kisa umepotea baada ya msiba,
Mimi naomba kujua jinsia yako tu mengine endeleenindiyo style yangu mheshimiwa na ni haki yangu kuanzisha thread hapa jf lakini na wewe kuwa muungwana nimekupa ushauri,niweke kwenye ignore list ili usipate shida na kero ya kusoma umbeya ulioko shallow
ndiyo style yangu mheshimiwa na ni haki yangu kuanzisha thread hapa jf lakini na wewe kuwa muungwana nimekupa ushauri,niweke kwenye ignore list ili usipate shida na kero ya kusoma umbeya ulioko shallow
Negro please you have made your point kwamba warumi ndiye anajua kuandika thread mimi namuiga na nipo shallow ,kila mtu kasoma na umeandika kwenye threads zangu zote mbili za leo sasa unataka nini tena?Povu halisaidii