nzagambadume
JF-Expert Member
- Apr 9, 2018
- 2,430
- 5,779
- Thread starter
-
- #41
Mimi naomba kujua jinsia yako tu mengine endeleeni
Negro please you have made your point kwamba warumi ndiye anajua kuandika thread mimi namuiga na nipo shallow ,kila mtu kasoma na umeandika kwenye threads zangu zote mbili za leo sasa unataka nini tena?
unachojaribu kusema hapa siyo kigeni ila kumbuka na wewe upo kwenye thread ya umbeya tena hupitwi unasoma hadi nukta
Kuna watu wanapenda kuabudiwa
mkuu kwani kuna mashindano ya kuleta thread?hii ni thread ya pili unanizodoa kunilinganisha na warumi unajua jamii forum ni user generated content?sasa fanya hivi subscribe kwenye posts za warumi kila akipost utakuwa notified halafu niweke mimi nzagambadume kwenye ignore list ili usipate tabu na kero ya kusoma threads zangu
Muungwana akikosolewa anakubali ushauri na kujirekebisha.
Ukweli ni kwamba unaandika gossips too shallow as if unamuogopa nani sijui.
warumi anajua kuchambua.
Hata ukichukia nitakuambia tu!
cha kushangaza hawakauki kwenye jukwaa hili ,nime wa challenge nikutane nao majukwaa mengine pia tupimane ubavu, ni majitu fulani sijui hata ni ya define vipi.Watu wa hivi wanazingua sana. Nilipoanza kupost nyuzi jukwaa hili walikua wanakuja na comment hizo hizo,wajinga flani wasiojielewa
cha kushangaza hawakauki kwenye jukwaa hili ,nime wa challenge nikutane nao majukwaa mengine pia tupimane ubavu, ni majitu fulani sijui hata ni ya define vipi.
cha kushangaza hawakauki kwenye jukwaa hili ,nime wa challenge nikutane nao majukwaa mengine pia tupimane ubavu, ni majitu fulani sijui hata ni ya define vipi.
Inaboa sana kutwa kumtaja warumi,ila nae akianzisha uzi kutwa kumtukana. Binadamu hawana jema
Pole sana. Ustaa haufosiki
Hee kumbe unatafuta ustaa
Ulikufa Same day na Ruge
Mkuu acha tabia za kishosti,kila mtu ana haki ya kuanzisha ubuyu JF. Nyuzi za warumi zipo kaweke kambi huko badala ya kuja kulia lia kwenye nyuzi za wengine
Sijazuia haki ya mtu, na sina uwezo huo.
Punguza jazba!
Calm down my beloved sister at JF
cha kushangaza hawakauki kwenye jukwaa hili ,nime wa challenge nikutane nao majukwaa mengine pia tupimane ubavu, ni majitu fulani sijui hata ni ya define vipi.
Aisee [emoji28]Mimi nafika mpaka topic za Uwanja wa Fisi, napita Argentina nakatiza kwa Mfuga mbwa pale karibu na darajani naingia kuchanganyika na machizi wa mnanda huko kupata vibe la kitaa.
Tatizo unamnyima mleta mada pozi ka kuleta ubuyu zaidi