Kuna video Niliiona kipindi cha nyuma. Afisa Habari wa Uhamiaji alilelezea hili. Akasema ni vyema passport ukaitunza vizuri na utumikaji wake uwe wakati unasafiri safari za nje Kama ni safari za ndani ihifadhi Vizuri nyumbani usisafiri nayo ovyo kwa safari za ndani ya nchi. Maana ikipotea na wakaja kukuuliza sababu za kupotea Ukisema Nilisafiri nayo safari za ndani wanaweza wakajua wewe sio mtunzaji na ukapata usumbufu kupata nyingine.
Tatizo mnadhani mtu akiwa celebrity anajua kila kitu, wanakuwa washamba sana upande mwingine. Huyu alidhani kila unapopanda ndege lazima awe na passport hata kama ni local routes! Na utakuta mara yake ya kwanza kupanda ndege alikwenda nje ya nchi kwa hiyo amekariri safari ya ndege lazima awe ma passport.
Hasira hizi ni za paspoti tu au kuna jingine la ziada?Nilishawahi kuandika kuhusu huyu shogiyoyo kana kimwehu mwehu na kiroho papu, yan ana kiherehere flan hivi cha kishamba shamba, anajichetuaga akili halafu mashauzi yenyewe hayawezi sasa.
Sasa jaman Like seriously Bukoba unaenda na passport ? What for? Kitambulisho huna au ndo show off zisizokua na mbele wala nyuma, na hata kama uliamua kutumia passport ni Sawa huko kuishika mkononi na kujishaua nayo kitu gani ? Mxieew passport yenyewe ya Zamani, hata hainogi kupiga nayo picha tena, mwanamke punguza ulimbuken bwana, pesa unazo , kipaji unacho na uzuri unao, hayo mambo mengine yakupitege bwana na wewe , mxiew zako
Wanazengo Nandy ana show Uko Bukoba ukweni, nendeni kesho mkamsuport bidada, huwa kanajitahid sana kwa kweli
mixeeView attachment 1147393View attachment 1147394
Jamani passport za sasa hivi ni nzuri na ni za kiwango aisee, rangi poa blue. Wamemboresha. Just 150000 tu ada + like 30000-50000 kama hauna viambatanisho, eg kama majina yanatofautiana, affidavit zinakuhusu, kama hauna N.I etc.ndani ya 21 days unayo mkononi.
Hii kitu ni muhimu jamani.
Hivi nandi humu JF anatumia ID ipiNilishawahi kuandika kuhusu huyu shogiyoyo kana kimwehu mwehu na kiroho papu, yan ana kiherehere flan hivi cha kishamba shamba, anajichetuaga akili halafu mashauzi yenyewe hayawezi sasa.
Sasa jaman Like seriously Bukoba unaenda na passport ? What for? Kitambulisho huna au ndo show off zisizokua na mbele wala nyuma, na hata kama uliamua kutumia passport ni Sawa huko kuishika mkononi na kujishaua nayo kitu gani ? Mxieew passport yenyewe ya Zamani, hata hainogi kupiga nayo picha tena, mwanamke punguza ulimbuken bwana, pesa unazo , kipaji unacho na uzuri unao, hayo mambo mengine yakupitege bwana na wewe , mxiew zako
Wanazengo Nandy ana show Uko Bukoba ukweni, nendeni kesho mkamsuport bidada, huwa kanajitahid sana kwa kweli
mixeeView attachment 1147393View attachment 1147394
Labda kama uko dar.We ulipewa ndan ya siku 21? Pole , hizo za sasa hiv week na nusu tu unapewa