Nandy acha ushamba, Bukoba na Passport?

Nandy acha ushamba, Bukoba na Passport?

Mwache afanye kile kinaupa furaha moyo wake,acha kumpangia,nafhani hata wewe unamambo unayopenda kufanya huku ukiwakela wengine,fight with your condition
 
Kuna video Niliiona kipindi cha nyuma. Afisa Habari wa Uhamiaji alilelezea hili. Akasema ni vyema passport ukaitunza vizuri na utumikaji wake uwe wakati unasafiri safari za nje Kama ni safari za ndani ihifadhi Vizuri nyumbani usisafiri nayo ovyo kwa safari za ndani ya nchi. Maana ikipotea na wakaja kukuuliza sababu za kupotea Ukisema Nilisafiri nayo safari za ndani wanaweza wakajua wewe sio mtunzaji na ukapata usumbufu kupata nyingine.

Ahsante snaa binamu , wewe muelewa na it seems unasafiri sana nchi za watu ndio maana, hawa wengi humu wanaoshadadia hata passport hawana na hawana mpango wa kusafiir nje ya nchi


Kama wangejua paspsort inavyosumbua kupatikana especially ukipoteza wasingekua wanafanya upuuz huu wa kutembea na paspsort kila sehem .

Waniulize Mimi , thanks for telling them
 
Tatizo mnadhani mtu akiwa celebrity anajua kila kitu, wanakuwa washamba sana upande mwingine. Huyu alidhani kila unapopanda ndege lazima awe na passport hata kama ni local routes! Na utakuta mara yake ya kwanza kupanda ndege alikwenda nje ya nchi kwa hiyo amekariri safari ya ndege lazima awe ma passport.

Jaman umenifanya nicheke had watu wananishangaa, wengi humu hawajui matumizi ya paspsort na hawajawah safir nchi za nje , wabongo bwana they are so illiterate mpaka wanaboa, mxieew , bukoba na paspsort ? Bwaaaha khaa
 
Nilishawahi kuandika kuhusu huyu shogiyoyo kana kimwehu mwehu na kiroho papu, yan ana kiherehere flan hivi cha kishamba shamba, anajichetuaga akili halafu mashauzi yenyewe hayawezi sasa.

Sasa jaman Like seriously Bukoba unaenda na passport ? What for? Kitambulisho huna au ndo show off zisizokua na mbele wala nyuma, na hata kama uliamua kutumia passport ni Sawa huko kuishika mkononi na kujishaua nayo kitu gani ? Mxieew passport yenyewe ya Zamani, hata hainogi kupiga nayo picha tena, mwanamke punguza ulimbuken bwana, pesa unazo , kipaji unacho na uzuri unao, hayo mambo mengine yakupitege bwana na wewe , mxiew zako

Wanazengo Nandy ana show Uko Bukoba ukweni, nendeni kesho mkamsuport bidada, huwa kanajitahid sana kwa kweli
mixeeView attachment 1147393View attachment 1147394
Hasira hizi ni za paspoti tu au kuna jingine la ziada?
 
Jamani passport za sasa hivi ni nzuri na ni za kiwango aisee, rangi poa blue. Wamemboresha. Just 150000 tu ada + like 30000-50000 kama hauna viambatanisho, eg kama majina yanatofautiana, affidavit zinakuhusu, kama hauna N.I etc.ndani ya 21 days unayo mkononi.

Hii kitu ni muhimu jamani.
 
Huko majuu watu wanaitumia passport kununulia beer supermarket au kuonesha mlangoni kuingia bar.Sijaona kosa la huyo nandy,kama hana national ID afanyeje? Iwapo kuingia humo ndani Airport wanataka kitambulisho.
 
Jamani passport za sasa hivi ni nzuri na ni za kiwango aisee, rangi poa blue. Wamemboresha. Just 150000 tu ada + like 30000-50000 kama hauna viambatanisho, eg kama majina yanatofautiana, affidavit zinakuhusu, kama hauna N.I etc.ndani ya 21 days unayo mkononi.

Hii kitu ni muhimu jamani.

We ulipewa ndan ya siku 21? Pole , hizo za sasa hiv week na nusu tu unapewa
 
Nilishawahi kuandika kuhusu huyu shogiyoyo kana kimwehu mwehu na kiroho papu, yan ana kiherehere flan hivi cha kishamba shamba, anajichetuaga akili halafu mashauzi yenyewe hayawezi sasa.

Sasa jaman Like seriously Bukoba unaenda na passport ? What for? Kitambulisho huna au ndo show off zisizokua na mbele wala nyuma, na hata kama uliamua kutumia passport ni Sawa huko kuishika mkononi na kujishaua nayo kitu gani ? Mxieew passport yenyewe ya Zamani, hata hainogi kupiga nayo picha tena, mwanamke punguza ulimbuken bwana, pesa unazo , kipaji unacho na uzuri unao, hayo mambo mengine yakupitege bwana na wewe , mxiew zako

Wanazengo Nandy ana show Uko Bukoba ukweni, nendeni kesho mkamsuport bidada, huwa kanajitahid sana kwa kweli
mixeeView attachment 1147393View attachment 1147394
Hivi nandi humu JF anatumia ID ipi
 
Ushamba UPI???? Airport bila kitambulisho cha kukutambua husafiri, passport ni mojawapo wa vitambulisho vya utambuzi, vitambulisho vingine ni kama cha mpiga kura , cha taifa, leseni ya udereva
 
Passport imekufanyaje ? Ya kwako si yake? khaaa kwani limekuwa jiwe la mererani? Kakosea wapi? Si yake?
 
sijaona kosa lake nadhani mtoa post ndiye mshamba ukiachana na kugongwa visa passport inatumika pia Kama kitambulisho
 
Back
Top Bottom