King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Swala la Ruge kutoka na Nandy lilisemwa kama mwaka m1 na nusu nyuma.Nadhan. Anataka mjue yeye ndo mrith wake. Kama mke. Hakuna sababu ya kusema hivo na kupost picha alizopiga na marehemu wakati hakuna aliekuwa anajua kuwa wana uhusiano. Lazima ana lengo fulan kubwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Msanii wa Bongo Fleva ameonyesha bado ameshindwa ku move on kutokana na kufiwa na aliekuwa mpenzi wake na boss wa Clouds Media marehemu Ruge Mutahaba.
Kupitia Instagram Nandy amepost Nyumba iliyokuwa mwanzoni anajengewa na Ruge Huku pia akionyesha alivyommiss.View attachment 1070266View attachment 1070267View attachment 1070268View attachment 1070269
Sent using Jamii Forums mobile app
MA YUSTINA A.K.A NANDY.
Sikuwa nikifahamu hilo
Hahahaha!Noma sana.. Kumbe mziki hauna pesa kiivo..
Hahahaha!
Labda atakuwa na depression a.k.a sononoHuyu Nandy anachanganyikiwa sasa... Hakika asahidiwe.
Ili iwe nini sasa kuachia hayo walioyafanya siri..!!???
Kabisa kabisaa....Anachofanya Nandy si kuonesha mapenzi bali ni kumdhalilisha marehemu
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimekuelewa sana!Wenye watoto wa kike tuna mitihani sana dah ukitafuta domain na range za umri na kutumika kwa Ruge na Nandi na anavyoona fahari kutangazia dunia unapata kizunguzungu
Sent using Jamii Forums mobile app
Let alone mtu mwenyewe ni maarufu na karibia nusu ya Watanzania wanamfahamu alivyo player ila njaa yako inakufanya ubariki mwanao kuingia huo mtihani,bora afanye ukiwa haupo radhi na uhusiano ili likimpata la kumpata asikulaumu mzazi kwa kutomuonya ila Nandi ana haki hapo baadae kuwalaumu wazazi wake kwa kutotimiza wajibu waoNimekuelewa sana!
najiuliza babake alikuwa anaruhusuje kiwango hiki cha binti kuwa manipulated?
BABA KABISA?
unashiriki kusheherekea uliwaji wa ngozi mwanao na we unaenda kukaa nyumba unayojua motto wako kaipata kwa mwanaume asiye mumewe ?
AND UNATEMBEA KIFUA MBELE KABISA?
UNAKAZA NA MKEO HUMO NDANI?
let alone kuwa unajitangaza ni mchungaji sijui blah blah gani?
NIMEWAZA SANA NAFASI YA WAZAZI KWENYE MALEZI YA HAWA MABINTI!
well sijui lakini!
pengine shida tunapta sie, KWAO NI KAWAIDA!
ila nimejiuliza sana!
MWANANGU ANAWEZA KUWA MWEHU MWEHU TU!
ila siwezi KUWA SEHEMU YA WEHU HUO!
Kabisa!Let alone mtu mwenyewe ni maarufu na karibia nusu ya Watanzania wanamfahamu alivyo player ila njaa yako inakufanya ubariki mwanao kuingia huo mtihani,bora afanye ukiwa haupo radhi na uhusiano ili likimpata la kumpata asikulaumu mzazi kwa kutomuonya ila Nandi ana haki hapo baadae kuwalaumu wazazi wake kwa kutotimiza wajibu wao
Sent using Jamii Forums mobile app
Ufukara kiuchumi wa wazazi unasababisha wakubali chochote kitokacho kule inakodhaniwa kuna milango ya baraka za kiuchumi.Nimekuelewa sana!
najiuliza babake alikuwa anaruhusuje kiwango hiki cha binti kuwa manipulated?
BABA KABISA?
unashiriki kusheherekea uliwaji wa ngozi mwanao na we unaenda kukaa nyumba unayojua motto wako kaipata kwa mwanaume asiye mumewe ?
AND UNATEMBEA KIFUA MBELE KABISA?
UNAKAZA NA MKEO HUMO NDANI?
let alone kuwa unajitangaza ni mchungaji sijui blah blah gani?
NIMEWAZA SANA NAFASI YA WAZAZI KWENYE MALEZI YA HAWA MABINTI!
well sijui lakini!
pengine shida tunapta sie, KWAO NI KAWAIDA!
ila nimejiuliza sana!
MWANANGU ANAWEZA KUWA MWEHU MWEHU TU!
ila siwezi KUWA SEHEMU YA WEHU HUO!
DIGNITY haina bei aiseeh!Ufukara kiuchumi wa wazazi unasababisha wakubali chochote kitokacho kule inakodhaniwa kuna milango ya baraka za kiuchumi.