Nimekuelewa sana!
najiuliza babake alikuwa anaruhusuje kiwango hiki cha binti kuwa manipulated?
BABA KABISA?
unashiriki kusheherekea uliwaji wa ngozi mwanao na we unaenda kukaa nyumba unayojua motto wako kaipata kwa mwanaume asiye mumewe ?
AND UNATEMBEA KIFUA MBELE KABISA?
UNAKAZA NA MKEO HUMO NDANI?
let alone kuwa unajitangaza ni mchungaji sijui blah blah gani?
NIMEWAZA SANA NAFASI YA WAZAZI KWENYE MALEZI YA HAWA MABINTI!
well sijui lakini!
pengine shida tunapta sie, KWAO NI KAWAIDA!
ila nimejiuliza sana!
MWANANGU ANAWEZA KUWA MWEHU MWEHU TU!
ila siwezi KUWA SEHEMU YA WEHU HUO!