Nandy amlilia Ruge, aonyesha mjengo alikuwa anamjengea

Basi unatakiwa kushukuru Mungu. Ki uhalisia watanzania walio wengi wana fall kwenye kundi la hao wazazi. Kama watu wanadanganyika na bia mbili tatu. wakipewa nyumba si lazima wadate kabisaaa. Hao ndio watanganyika.
 
umezaa watoto watatu wa kike, wa kwanza amezalishwa ameachwa na mtoto anateseka hana msaada, wa pili hivyo hivyo hana mume anadanga mitaan, wa tatu amepata mwanaume anataka kumuoa na nyumba amemjengea hata kama mume wa mtu au mzee wa miaka 60 utamkataa? hayajakukuta
 
 
hii nyumba ni tofauti na ile aliyojengea wazazi wake??
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuwalaumu wazazi wa Nandy nadhani si sawa, huyu binti hakujenga nyumba akiwa amekaa tu nyumbani hana shughuli, nadhani angefanya hivyo wangehoji, wazazi waliaminishwa kuwa ile nyumba imejengwa na kazi ya muziki anayo ifanya binti wala sidhani kama wazazi walikuwa wanajua mahusiano na Ruge na kuwa ndie anae mfadhili binti yao, hapo ameandika kuwa Ruge alikuwa anamtafutia kazi ili apate hela asizoee za kupewa. Maisha yana tofauti kuna ambao hununuliwa mikate na huipeleka nyumbani wazazi wanakula wanajua binti ana mudu kununua mkate kutokana na kibarua chake kumbe huo mkate kanunuliwa na mpenzi wake pia.. Tuwastiri hao wazazi.
 
Ningekua mimi ningeufyata mdomo maana waja wanakuangalia kwa jicho la pili
 
Njaa mbaya sana.
Eti mchungaji[emoji134]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…