Nandy ni binti mbichi sana tutashuhidia mengi siku za usoni juu ya TANESCO yake.
Acha tu Mkuu! Kuishi kwingi kuona mengi!Kuna waliochanga kumuchangia mgonjwa apate matibabu kule kusini mwa Africa
Kuna waliokua wanajengewa nyumba na mgonjwa aliekua anaombewa achangiwe
#Ama kweli DUNIA UWANJA WA FUJO
Mtakaso noma Mkuu! Ngoma nje nje!
Hiyo ndiyo taswira ya jamii tuliyonayo! Amini hawa watoto wameoza wala hatujali na kuchukua hatua! Hiyo ni tip of iceberg! Mungu atusaidie tu!Nandy bado mtoto,sasa sijui kapata nini kuujulisha umma haya mambo? mweeh
Watu walicheza na fursa,Bongo Nyoso.Hahaha dah ule mchango ulikua wanin kama alisema anaweza kumpa mil1 au 5 per day
Sent using Jamii Forums mobile app
Jamani someni between lines mimi nimesoma kuwa ' Ningeweza kukupa milioni 1 mpaka 5 lakini badala yake anamtafutia kazi anaimba anapata hela anakuja kujengea. Naona kama mnabadili kiswahili tena!.
Mtakaso noma Mkuu! Ngoma nje nje!
Pale Nansio palikuwa na njemba inaitwa Mgune ilitafuna sana wajane!
Sijui kwa nini kajisikia "kujiachia" baada ya jamaa kudanchi...Haya mapenzi ya siri mpaka mmoja afe ndo yanajulikana jmn....
Kwa nn asiendelee kuficha tu
Kazi kweli kweliSijui kwa nini kajisikia "kujiachia" baada ya jamaa kudanchi...
Kama waliona mwanzoni iwe siri..sidhani kama sababu zimeyeyuka ghafla kwa kifo cha mmoja wao.
Nitajitahid nikifa niwe na kwangu sio msiba uwekwe kwa wazazi wangu kisa nimejengea wanawake nyumbaHaya mapenzi ya siri mpaka mmoja afe ndo yanajulikana jmn....
Kwa nn asiendelee kuficha tu
Kujengewa sebule au nyumba? Mi naona sebule tu
Ukifa na nyumba yako alaf ulkua unaishi peke yako,msiba ataandaa naniNitajitahid nikifa niwe na kwangu sio msiba uwekwe kwa wazazi wangu kisa nimejengea wanawake nyumba
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] kwani marehemu hakuwa na nyumbaNitajitahid nikifa niwe na kwangu sio msiba uwekwe kwa wazazi wangu kisa nimejengea wanawake nyumba
Angeweka wazi tangu mwanzo mngesema nandy amemuua rugeHaya mapenzi ya siri mpaka mmoja afe ndo yanajulikana jmn....
Kwa nn asiendelee kuficha tu