and 300
JF-Expert Member
- Jun 27, 2012
- 26,398
- 36,406
Nasemea nafsi yangu. Hayo mengine kawaulize ma-malikia wa kudanga[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] kwani marehemu hakuwa na nyumba
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nasemea nafsi yangu. Hayo mengine kawaulize ma-malikia wa kudanga[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] kwani marehemu hakuwa na nyumba
Tumechangishwa kumbe malkia wa nguvu anafanya yake
Viseme vingine alivyoachiwa, unaona die tulopeleka mahari tumesema?
Wewe ndio hujui sisi na familiya tunajuaNadhan. Anataka mjue yeye ndo mrith wake. Kama mke. Hakuna sababu ya kusema hivo na kupost picha alizopiga na marehemu wakati hakuna aliekuwa anajua kuwa wana uhusiano. Lazima ana lengo fulan kubwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Duh, mlijua lin tena.Wewe ndio hujui sisi na familiya tunajua
Hivi ule mchupi ilikuwaje akautinga?Bora hata angekuwa na Le Mutuz tungesema kamuazima apigie picha!Viseme vingine alivyoachiwa, unaona die tulopeleka mahari tumesema?
Ka Nandy kako Bomba bana😂
Itakua ngoma ili afungue band
Haka kabinti kanaishi mtaa wangu. Nyumba moja wana share na wazazi wake, which I just don't understand. Halafu kako too ambitious and materialistic, while in reality, and outside her good looks, she's a priddy mediocre artist.Msanii wa Bongo Fleva ameonyesha bado ameshindwa ku move on kutokana na kufiwa na aliekuwa mpenzi wake na boss wa Clouds Media marehemu Ruge Mutahaba.
Kupitia Instagram Nandy amepost Nyumba iliyokuwa mwanzoni anajengewa na Ruge Huku pia akionyesha alivyommiss.View attachment 1070266View attachment 1070267View attachment 1070268View attachment 1070269
Sent using Jamii Forums mobile app
marehemu alikuwa anaishi nyumba ya kupanga huko Masaki.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] kwani marehemu hakuwa na nyumba
[emoji23] mtoboa matobo nimecheka I
kick kwa piki pikiYeah, bora afiche tu. Coz now it's useless. Ila hii couple hiii....