Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kutokana na hili ndiyo husababisha muafrika akikutana na mtu wa nje ama beat iwe ya tempo ya juu au wafanye reggae au kitoke kitukoKama ni kweli, hiyo ni good step 👏🏾👏🏾👏🏾
Japo najaribu kupatia picha, Usher ataweka verse ipi kwenye hiyo pure bongo flava 😁
Maoni yangu ni kwamba ASAP Maana yake nini kwa mtoto wakiume na mtoto wa kikeStaa wa muziki wa Bongo Fleva na CEO wa lebo ya THE AFRICAN PRINCES Nandy, ameweka wazi kutafutwa na msanii wa RnB kutoka nchini Marekani Usher Raymond kwa ajili ya Remix ya wimbo wake wa Dah ambao awali alimshirikisha Msanii Alikiba.
Nandy ameshare chat zake na Usher akimuomba aweke Verse.
View attachment 2897345
Nini maoni yako?
Huna akiliHamna cha remix wala nini, hapo wanagombania kutrend na kuizima Mapozi, kama nae Mondi jana alivyo trend na yule ndege aliyeenda nyumbani kwake ili aizime Dah.
Hapo hamna remix yoyote, halafu siku hizi kwenye ulimwengu wa AI na App ambazo zinaweza kutengeneza chat na watu mbalimbali ikaonekana kweli.
Ila remix haipo amefanya hivyo ili kuendelea kuipromoti nyimbo yake,ila hana remix na Usher haipo.
Mwendo wa Kiki tu hapo,hapo bado nae Konde anaplan atoke na kiki gani,maana baada ya kutoa audio akaja na kiki ya kukunja chupi, video sijui atakuja na kiki gani.
Ukifuatilia mziki wabongo wasanii karibia wote wanapenda kiki, kuacha wimbo uptrend wenyewe hawawezi,ndio maana na wakubali Darrasa na Mboso.
ASAP maana yake As Soon As PossibleMaoni yangu ni kwamba ASAP Maana yake nini kwa mtoto wakiume na mtoto wa kike
Endelea kudanganywa,kichwa hiko sio kopo Internet unayo ni swala la kuendelea na ujinga au kujiongeza ujue umedanganywa.
Kabisa ila wanaweza kutoa kituKutokana na hili ndiyo husababisha muafrika akikutana na mtu wa nje ama beat iwe ya tempo ya juu au wafanye reggae au kitoke kituko
Anafuatwa na kikongweStaa wa muziki wa Bongo Fleva na CEO wa lebo ya THE AFRICAN PRINCES Nandy, ameweka wazi kutafutwa na msanii wa RnB kutoka nchini Marekani Usher Raymond kwa ajili ya Remix ya wimbo wake wa Dah ambao awali alimshirikisha Msanii Alikiba.
Nandy ameshare chat zake na Usher akimuomba aweke Verse.
View attachment 2897345
Nini maoni yako?
Ule wimbo wa Diamond na Morgan Heritage ulikuwaje ?Kutokana na hili ndiyo husababisha muafrika akikutana na mtu wa nje ama beat iwe ya tempo ya juu au wafanye reggae au kitoke kituko