Nandy atafutwa na Usher Raymond kwaajili ya remix ya wimbo wa "Dah"

Kama ni kweli, hiyo ni good step πŸ‘πŸΎπŸ‘πŸΎπŸ‘πŸΎ

Japo najaribu kupatia picha, Usher ataweka verse ipi kwenye hiyo pure bongo flava 😁
Kutokana na hili ndiyo husababisha muafrika akikutana na mtu wa nje ama beat iwe ya tempo ya juu au wafanye reggae au kitoke kituko
 
Maoni yangu ni kwamba ASAP Maana yake nini kwa mtoto wakiume na mtoto wa kike
 
Huna akili

Sent from my SM-A235F using JamiiForums mobile app
 
Kutokana na hili ndiyo husababisha muafrika akikutana na mtu wa nje ama beat iwe ya tempo ya juu au wafanye reggae au kitoke kituko
Kabisa ila wanaweza kutoa kitu
 
Anafuatwa na kikongwe
 
Kutokana na hili ndiyo husababisha muafrika akikutana na mtu wa nje ama beat iwe ya tempo ya juu au wafanye reggae au kitoke kituko
Ule wimbo wa Diamond na Morgan Heritage ulikuwaje ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…