Nandy athibitisha uhusiano wake na Ruge

Wazazi wake wanakaa wapi
 
Nimeelewa kwa nini Tanzania ni ngumu kuendelea kiviwanda kama watu wanajadili watu badala ya maendeleo yao, kumbuka robo ya mwaka imekatika hujafanya jipya au umefanya kwa kiwango kidogo

Sent using Jamii Forums mobile app
hata hizo nchi zilizoendelea udaku upo, acha tuchambishe nafsi kwa umbea. watafiti washasema wambea tunaishi miaka mingi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inasemekana Nandy ndio alikuwa aolewe na marehemu na mahari ilishapelekwa kwao na mshenga alikuwa Kanuary Makamba, Nandy alikuwa anaenda hospital na familia kumjulia hali mchumba wake...Ameamua kuachia maana anajua dunia haina siri acha aseme ili yakisemwa isiwe story mpya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…