Nandy hadi lini utakuwa mtumwa wa familia ya Ruge?,kuwa makini unajipotezea bahati ya kuolewa

Nandy hadi lini utakuwa mtumwa wa familia ya Ruge?,kuwa makini unajipotezea bahati ya kuolewa

IKIRIRI

JF-Expert Member
Joined
Jan 14, 2018
Posts
2,734
Reaction score
3,023
Nimeona huyo Dada yuko mbelembele sana,kumbuka Ruge hakukuoa,haujazaa nae.,kwanini unajichoresha.

Mwanaume anayejielewa ni ngumu kujiweka coz umejifungamanisha na familia ambayo mwisho wa siku itakuletea mgogoro utakapoamua kuwa na mahusiano yako.

Acha kujiweka kimbelembele Dada,sababu kubwa ya ugonvi wa Lulu na mama Kanumba ni kitendo cha Lulu kuwa na mwanaume mama Kanumba hakufurahishwa.
 
Nimeona huyo Dada yuko mbelembele sana,kumbuka Rugu hakukuoa,haujazaa nae.,kwanini unajichoresha.

Mwanaume anayejielewa ni ngumu kujiweka coz umejifungamanisha na familia ambayo mwisho wa siku itakuletea mgogoro utakapoamua kuwa na mahusiano yako.

Acha kujiweka kimbelembele Dada,sababu kubwa ya ugonvi wa lulu na mama kanumba ni kitendo cha lulu kuwa na mwanaume mama kanumba hakufurahishwa.
Kwani unateseka?
 
Nimeona huyo Dada yuko mbelembele sana,kumbuka Ruge hakukuoa,haujazaa nae.,kwanini unajichoresha.

Mwanaume anayejielewa ni ngumu kujiweka coz umejifungamanisha na familia ambayo mwisho wa siku itakuletea mgogoro utakapoamua kuwa na mahusiano yako.

Acha kujiweka kimbelembele Dada,sababu kubwa ya ugonvi wa Lulu na mama Kanumba ni kitendo cha Lulu kuwa na mwanaume mama Kanumba hakufurahishwa.
Unachanganya madawa!
 
Mbona una pata taabu na maisha ya Nandy namna hiyo? Eti hakuna mtu atajiweka kwa nini labda? Aache kuomboleza na wapendwa wake kisa anataka mtu wa kujiweka kwake? Muache bwana mwenyewe bado anaomboleza huko instagrama hata akiwa peke yake au huoni?
 
Nimeona huyo Dada yuko mbelembele sana,kumbuka Ruge hakukuoa,haujazaa nae.,kwanini unajichoresha.

Mwanaume anayejielewa ni ngumu kujiweka coz umejifungamanisha na familia ambayo mwisho wa siku itakuletea mgogoro utakapoamua kuwa na mahusiano yako.

Acha kujiweka kimbelembele Dada,sababu kubwa ya ugonvi wa Lulu na mama Kanumba ni kitendo cha Lulu kuwa na mwanaume mama Kanumba hakufurahishwa.
Kwani utaseka?
 
Kama Ruge aliona akipigwa ndole Live na akakubaliana, sembuse picha tu kwenye kaburi! Wanaume tuna huruma sana kwahyo wala usimtishe dada wa watu!
Japo hata me ananiboa
 
Nimeona huyo Dada yuko mbelembele sana,kumbuka Ruge hakukuoa,haujazaa nae.,kwanini unajichoresha.

Mwanaume anayejielewa ni ngumu kujiweka coz umejifungamanisha na familia ambayo mwisho wa siku itakuletea mgogoro utakapoamua kuwa na mahusiano yako.

Acha kujiweka kimbelembele Dada,sababu kubwa ya ugonvi wa Lulu na mama Kanumba ni kitendo cha Lulu kuwa na mwanaume mama Kanumba hakufurahishwa.
MTOTO ni wakusaidiwa. Anadhani awara an haki.
 
Back
Top Bottom