Kweli kabisaKweli kbs Demba, no swala la muda tu. Muda ukifika hata hiyo familia itamuulizia kama kweli yupo nchi hii. Watu watulie ni sawa na ukiamia makao mapya matembezi yako mengi ni kule kwa zamani ukishazoea makazi mapya na kuwapata marafiki Kyle kwa zamani hawatakuona kirahisi rahisi.
huyu ni mwanamziki wa tanzaniaNandi hivi ndio yule Nandipa aliyekuwepo kwenye Isidingo?
Luge mwenyewe si alikuwa Muathirika sasa nani kumtaka huyo nandi
Yaani nijichinje mwenyewe
Wengi wasielewa watakupinga, ila kwa hakika anachokifanya huyo binti kitamgharimu sn, hakuna ndugu wa Ruge atakaemfurahia atakapoamua kuanzisha mahusiano mengine, hapo ndio chuki zitaibuka, ilitakiwa baada ya msiba aanze kukaa pembenNimeona huyo Dada yuko mbelembele sana,kumbuka Ruge hakukuoa,haujazaa nae.,kwanini unajichoresha.
Mwanaume anayejielewa ni ngumu kujiweka coz umejifungamanisha na familia ambayo mwisho wa siku itakuletea mgogoro utakapoamua kuwa na mahusiano yako.
Acha kujiweka kimbelembele Dada,sababu kubwa ya ugonvi wa Lulu na mama Kanumba ni kitendo cha Lulu kuwa na mwanaume mama Kanumba hakufurahishwa.
Lakini wewe umepima????. Isije ikawa msemo wa Nyani haoni kunduleLuge mwenyewe si alikuwa Muathirika sasa nani kumtaka huyo nandi
Yaani nijichinje mwenyewe
Hapo tu ndio nimecheka japo ni thread ya majonziNfyuuuuuuxxx zenu
Luge mwenyewe si alikuwa Muathirika sasa nani kumtaka huyo nandi
Yaani nijichinje mwenyewe
Acha kumuonea wivu..
Hahahahahaha hizo ni fununu hizo ni fununu hii ni nyimbo ya young D haina maana na kuwaza kwakoNawaza tu hajaachiwa? Masikini
👍...Lakini wewe umepima????. Isije ikawa msemo wa Nyani haoni kundule