Nandy kumuanika aliyevujisha video yake ya utupu na Billnass

jamani ila haka katoto kana sauti nzuri mwee!

yaani kangekuwa kanamwimbia Mungu, ninaamini kangeweza kusamehewa dhambi nyingine zooote kutokana tu na hii talanta ya uimbaji.

wee binti rudi kwa BWANA uishi milele!
 
nampenda nandy ni mwanamke mrembo kama yeye anavyojiita african princess ila hii tabia ya kusubiri wakati anataka kuachia nyimbo ndio aanze kutafuta namna ya kuongelewa na watu sio nzuri hata kidogo. Atoe wimbo bila kick kama mzuri utabamba na kama mbaya atapambana na hali yake hivyohivyo.
 


Nafikiri atakuwa Ruge tu ama Zamaradi.
 
kuwa mpole tu ndugu,usikumbushe watu wafukunyue mapicha yako..lol
Inawezekana ni sehemuya ku boost kiki.

Wenyewe wanasema "no publicity is bad publicity".

Hiyoina tafsiri mbili.

1. No publicity (zero publicity) is bad publicity
2. Any publicity,negative or positive,is good

I mean how else can you explain this? Watu washasahau, unawakumbushia,ili iweje?
 
Anatafuta kiki nyingine baada ya ile kupoa.

Ile video, itamuhukumu maisha yake yote. Yaani ilionyesha ni mtu wa aina gani. Yaani ilitufanya mashabiki tumchukie kwakua alichokifanya na jinsi tulivyokua tunamdhania, ni vitu viwili tofauti.

Atapata tabu sana
 
Hiyo akili unayo wewe,mwenzako anawaza vip anapata attention..kabla ya skendo alikiwa 600k saivi ana followers 900k+

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hajitambui
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…