Simi???
Hahahah... ni msanii famous sana huko Nigeria. Me binafsi namkubali.Duuh Kumbe ni jina la msanii, nilidhani unamaanisha naniliii[emoji125][emoji125]
Kuna cha ajabu hapo?? mbona tunavyoitana sweetheart, my darlin mbona huwa hamuoji?? mxiiewww
Eyce, huyo SIMI kwangu ndo namkubali sana kwa wanaigeria wakike, ni mkali sana yule dada, upekee wa sauti yake unamuongezea credit kubwa sana katika uimbaji wake, Ila kama ulivyosema hapo kuwa hapa bongo bado watu hawajamuelewa, but she's one of the best in Nigeria.Simi ni habari ingine ila ndio vile nyimbo zake sio za kuchezeka sana ndio maana bongo bado hajapata hype. Kwa naija wanamkubali sana maana anajua kutunga na ana sauti unique
Mwasiti hanaga nyota kabisaaa
Kumbe unafuatilia mpambano[emoji23][emoji23]Mpaka sasa Maua 90% Nandy 10%
Haswaa, kuna siku nilimwambia mtu kwamba Nandy hata huwa sielewi anafanya nini akasema kawaida yenu wanawake hampendani. Leo nimefarijika kuona kumbe sipo peke yangu na yule mtu itabidi aniombe radhiKumbe unafuatilia mpambano[emoji23][emoji23]
[emoji1] [emoji1] [emoji1]Duuh Kumbe ni jina la msanii, nilidhani unamaanisha naniliii[emoji125][emoji125]
[emoji41] [emoji41] [emoji41]Simi ni habari ingine ila ndio vile nyimbo zake sio za kuchezeka sana ndio maana bongo bado hajapata hype. Kwa naija wanamkubali sana maana anajua kutunga na ana sauti unique
[emoji4][emoji4] fanya umuite aje asome haya hapaHaswaa, kuna siku nilimwambia mtu kwamba Nandy hata huwa sielewi anafanya nini akasema kawaida yenu wanawake hampendani. Leo nimefarijika kuona kumbe sipo peke yangu na yule mtu itabidi aniombe radhi
Ngoja nimtag[emoji4][emoji4] fanya umuite aje asome haya hapa
Amber ruti
Very true..mada iishie apaKwa bongo list yangu ni hii
Grace matata
Maua sama
Mwasiti
Ruby
Nandy
Rachel kizunguzungu( wa kipindi hicho)
Linah sanga
Tukirud kwenye topic
Maua sama ndo Bora kuliko Nandy ....coz anauwezo wa kutunga na kuimba while Nandy anajua kuimba tuu ...
Pepe MadochiSiyo PEPE?
Kwani tatizo lipo wapi ?Kuna cha ajabu hapo?? mbona tunavyoitana sweetheart, my darlin mbona huwa hamuoji?? mxiiewww