Nane nane Nyamhongoro Mwanza

Tutor B

JF-Expert Member
Joined
Jun 11, 2011
Posts
9,025
Reaction score
6,598
Jamani waungwana!

Kwa wale mlioko Mwanza; kama ikiwezekana tufanye mpango tuonane viwanja vya Nyamhongoro ambako maonesho mbalimbali yanaendelea. Kwa jana nilienda na kujifunza mengi lakini kubwa zaidi ni kilimo cha Mihogo na namna ya kusindika products mbalimbali toka kwenye mihogo.

Leo nitakuwepo tena na nitaendelea kujifunza mengi ila ningependa kama nitakutana na memba wa JF tukabadilishana mawazo!

Ni-Pm!
 
Ninamiaka mitano mwanza sijawahi kufika nyamohongolo hivi Kuna daladala za kufika huko?
 
Ninamiaka mitano mwanza sijawahi kufika nyamohongolo hivi Kuna daladala za kufika huko?
Panda magari yanayoenda kisesa, wambie wakushushe nane nane, hapo ndo penyewe, jiji limehamia hapo kwa wiki nzima, tupo tunajifunza, tunakula, tunakunywa n.k
 
Ata mi sijawahi kufika uko
Karibu sana ujifunze mbinu mbalimbali za ujasiriamali kwa kuona! Hakika mengi nilokuwa nayasoma hapa Jf nimeyaona kwa macho na kupewa maelekezo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…