Tutor B
JF-Expert Member
- Jun 11, 2011
- 9,025
- 6,598
Jamani waungwana!
Kwa wale mlioko Mwanza; kama ikiwezekana tufanye mpango tuonane viwanja vya Nyamhongoro ambako maonesho mbalimbali yanaendelea. Kwa jana nilienda na kujifunza mengi lakini kubwa zaidi ni kilimo cha Mihogo na namna ya kusindika products mbalimbali toka kwenye mihogo.
Leo nitakuwepo tena na nitaendelea kujifunza mengi ila ningependa kama nitakutana na memba wa JF tukabadilishana mawazo!
Ni-Pm!
Kwa wale mlioko Mwanza; kama ikiwezekana tufanye mpango tuonane viwanja vya Nyamhongoro ambako maonesho mbalimbali yanaendelea. Kwa jana nilienda na kujifunza mengi lakini kubwa zaidi ni kilimo cha Mihogo na namna ya kusindika products mbalimbali toka kwenye mihogo.
Leo nitakuwepo tena na nitaendelea kujifunza mengi ila ningependa kama nitakutana na memba wa JF tukabadilishana mawazo!
Ni-Pm!