Nanenane na wajasiriamali: Fursa kwa wagunduzi/wajasiriamali na wamiliki-wazalishaji

Nanenane na wajasiriamali: Fursa kwa wagunduzi/wajasiriamali na wamiliki-wazalishaji

Uhakika Bro

JF-Expert Member
Joined
Mar 29, 2022
Posts
3,644
Reaction score
4,315
Kiukweli fursa hii inamuhusu mtu yeyote aliye karibu na mjasiriamali haswaa mwenye uwezo wa kutumia simu[smartphone] au kompyuta [japo si lazima]. Kwa mjasiriamali mwenyewe soma barua yako iliyounganishwa na uzi huu.

Kwa mtu binafsi unaweza kudownload na kuchapisha maelekezo ya kujiunga kisha kuwapatia[au 'sharing' kwa magrupu admins watakushukuru sana wadau wako]/kuwauzia wajasiriamali walio karibu nawe [kuuza flier nanenane].
Lakini pia ukiufanyia mazoezi mtandao utaweza kutoa huduma ya kuwaunganisha wajasiriamali ili kuwafungulia mabanda/duka ya maonesho mtandaoni. Kama tu ambavyo watu hufanya 'Tunaunganisha whatsapp/twitter na facebook na kurusha nyimbo....' au 'Tunasajili TIN na BBRELA' namna hiyo🐣

Kazi kubwa za mtandao huu ni hizi hapa, yaani kupitia mtandao utaweza; 1. kuwa na banda/duka, 2. kuuza na kununua bidhaa zenye maelezo na bei zake, 3. kujitambulisha/kutoa elimu kwa njia ya makala/blogu, 4. kupata wateja toka sehemu zote duniani watakaokuja kujionea bidhaa za wajasiriamali toka kila sehemu Tanzania. 5. kuweka anuani[address] na mawasiliano yako ili kupokea maswali ya wateja na oda zao. Utajibu pia maswali yao kadri wanavyotumia bidhaa zako

NB: Hakuna malipo yoyote kujiunga wala kutumia huduma hizi, faida yake inapatikana pale watu wengi wanapotembelea wauzaji wengi walio sehemu moja na hivyo kununua kwa wajasiriamali wengi zaidi. Naiita 'nanenane effect' ambayo wajasiriamali wote wanaohudhuria maonesho wanaifahamu fika. Karibuni.
 

Attachments

I
Kiukweli fursa hii inamuhusu mtu yeyote aliye karibu na mjasiriamali haswaa mwenye uwezo wa kutumia simu[smartphone] au kompyuta [japo si lazima]. Kwa mjasiriamali mwenyewe soma barua yako iliyounganishwa na uzi huu.

Kwa mtu binafsi unaweza kudownload na kuchapisha maelekezo ya kujiunga kisha kuwapatia[au 'sharing' kwa magrupu admins watakushukuru sana wadau wako]/kuwauzia wajasiriamali walio karibu nawe [kuuza flier nanenane].
Lakini pia ukiufanyia mazoezi mtandao utaweza kutoa huduma ya kuwaunganisha wajasiriamali ili kuwafungulia mabanda/duka ya maonesho mtandaoni. Kama tu ambavyo watu hufanya 'Tunaunganisha whatsapp/twitter na facebook na kurusha nyimbo....' au 'Tunasajili TIN na BBRELA' namna hiyo🐣

Kazi kubwa za mtandao huu ni hizi hapa, yaani kupitia mtandao utaweza; 1. kuwa na banda/duka, 2. kuuza na kununua bidhaa zenye maelezo na bei zake, 3. kujitambulisha/kutoa elimu kwa njia ya makala/blogu, 4. kupata wateja toka sehemu zote duniani watakaokuja kujionea bidhaa za wajasiriamali toka kila sehemu Tanzania. 5. kuweka anuani[address] na mawasiliano yako ili kupokea maswali ya wateja na oda zao. Utajibu pia maswali yao kadri wanavyotumia bidhaa zako

NB: Hakuna malipo yoyote kujiunga wala kutumia huduma hizi, faida yake inapatikana pale watu wengi wanapotembelea wauzaji wengi walio sehemu moja na hivyo kununua kwa wajasiriamali wengi zaidi. Naiita 'nanenane effect' ambayo wajasiriamali wote wanaohudhuria maonesho wanaifahamu fika. Karibuni.
Takiwa n kama minada SI ndivyo au nimekuelewa vibaya na hii nane nane
 
I

Takiwa n kama minada SI ndivyo au nimekuelewa vibaya na hii nane nane
Unaweza kusema hivyo mnada ila modeli ile ya kijijini. Ile kila mmoja analeta anachozalosha na wanauziana. GULIO! Sahili Marketplace Network.

Kwa ufupisho ni kuyachukua maonesho ya nanenane na kuyaweka online. Hivyo kufanyiza mfumo ambao unaruhusu kila wakati na kila mtu anakuwa na uwezo wa kuyafikia tokea mahali popote
 
Saw a
Unaweza kusema hivyo mnada ila modeli ile ya kijijini. Ile kila mmoja analeta anachozalosha na wanauziana. GULIO! Sahili Marketplace Network.

Kwa ufupisho ni kuyachukua maonesho ya nanenane na kuyaweka online. Hivyo kufanyiza mfumo ambao unaruhusu kila wakati na kila mtu anakuwa na uwezo wa kuyafikia tokea mahali
Unaweza kusema hivyo mnada ila modeli ile ya kijijini. Ile kila mmoja analeta anachozalosha na wanauziana. GULIO! Sahili Marketplace Network.

Kwa ufupisho ni kuyachukua maonesho ya nanenane na kuyaweka online. Hivyo kufanyiza mfumo ambao unaruhusu kila wakati na kila mtu anakuwa na uwezo wa kuyafikia tokea mahali popote
Saw saw
 
MJASIRIAMALI/MFANYABIASHARA.

Imagine kujitangaza katika mazingira yako kuwafikia wateja wote hapo na nchi nzima!? Inakuja tena kwa kasi, hii hapa nafasi ya kuwa featured katika gazeti/jarida la wajasiriamali Tanzania.

Hakuna malipo zaidi ya kujiunga na kutengeneza duka na kuupload bidhaa (pamoja na maelezo) unazouza. BURE

Maelezo yapo katika flier hapo juu

Wajasiriamali 75 wa kwanza!!! Karibuni

Attached jarida toleo la kwanza kabisa kama mfano.
 

Attachments

Back
Top Bottom