Nani katangazaJamani njaaa
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji85]
Chief kuja huku useme mwenyewe bhana. Watu wanakuonea ujue. Et unapenda maneno machafu?Chief hapendi kabisa sema watu wanamtibuaga tu[emoji3] [emoji3]
magazeti yaliyonunuliwa na wapinzani lakin njaa kaliNani katangaza
Hapendi [emoji28] [emoji28]
Wewe kweli jambazi. Usisikie njaa kweli mkuu? AmazingMaxence Melo Moderator , Paw na Mhariri Hata waki like tu najiskia mtu mwenye furaha hata kama sijalipwa ujira wangu hata kama naskia njaa najihisi nimeshiba kabisa
Mnamwonea ujue[emoji85] [emoji38]Hmm! Kama kweli basi kheri, maana mshkaji nilijua angejibu kwa maneno machafu.
Mi na jje's tulikuwa tunasubiri akujibu pia [emoji28]Hmm! Kama kweli basi kheri, maana mshkaji nilijua angejibu kwa maneno machafu.
Maxence Melo Moderator , Paw na Mhariri Hata waki like tu najiskia mtu mwenye furaha hata kama sijalipwa ujira wangu hata kama naskia njaa najihisi nimeshiba kabisa
Thanks mkuu.
Hata mm aisee nalipwa. Furaha ninayopata humu ni zaidi ya shekeli.Kwa namna ulivyoiweka comment yako, inaonyeshwa kuna watu huwa mnalipwa kuwepo JF.
Maxence Melo, What is it that I'm not doing right, Sir?
Asante sana
Mnamwonea ujue[emoji85] [emoji38]
Mi na jje's tulikuwa tunasubiri akujibu pia [emoji28]
JikedumeHahahahaah