Elections 2010 Nani akipewa Uwaziri, Utashangaa, utasikitika au utafurahia?

Elections 2010 Nani akipewa Uwaziri, Utashangaa, utasikitika au utafurahia?

Tibaijuka akipewa Ardhi,
Makamba january mambo ya Nje,
Makongoro mahanga akipewa mambo ya ndani
Kawambwa Shukuru akipewa miundombinu
HAKYANANI NITASIKITIKA NA NINAAPA NITAGOMBEA UBUNGE 2015
 
nitakasirika sana kama Mwakyembe atapewa uwaziri ni muhimu sana nyuma ya Tundu lisu Kusimamia haki
 
sitashangaa wala kusikitika kwa sababu najua ccm are capable of everything and nothing.
 
Mimi nitafurahi mheshimiwa Mrema akiteuliwa waziri wa mambo ya ndani. Wengine tumechoka na porojo na propaganda za majukwani ambazo hazimuongezei Mtanzanania tija hata siku moja.

Always kusema ni rahisi sana kuliko kutenda. Watendaji wengi ambao walikuwa wazuri kwa nchi yetu hawakuwa pia mabingwa wa kelele za majukwani, mfano ni marehemu Sokoine au hata Magufuli, prof, Mwandosya nk. sio watu wa makelele mengi lakini naamini ni watendaji wazuri kuliko viongozi wengi.

Kuna vijana wengi ambao hata hatuwajui, wanaweza kuwa watendaji wazuri. Muhimu ni kupewa nafasi ili tuje tuwahukumu kwa matendo yao na wala sio kimya chao.
 
unfortunately our president and his co-pilot members have blank-minds and so Tanzania being ridden remotely, wonder if either of those suggestions will be considerably taken into account.
 
Nitashangaa sana kama nilivyowahi kushangaa huko nyuma Emmanuel Nchimbi kuwa waziri!!!!!!!!! but this will happen!

Sijui uko wapi lakini ungekuwa Dar. ningekwambia uende ferry ukashangae zaidi kwani Emmanuel Nchinbi kuwa waziri is a certainity!! Ukweli ndio huo!
 
Iwe hiv


  • Jakaya mrisho kikwete akiwa pia Waziri wa Mambo ya nje. Hiyo ofisi ya reception ya serikali Inamfaa pia( Rais Amiri jeshi Mkuu na waziri wa mambya nchi za nje ):doh::doh::doh::doh::doh::doh:
  • Prof Anna Tibaijukaawe PM:smile-big:
  • January MakambaApewe wizara ya Kilimo.:nono:

teh teh teh

well well well...
 
Nitasikitika sana Kawambwa akiwa waziri hasa wizara ya miundombinu kwani kipindi kilichopita ndio kalidanganya bunge kuwa kuna muwekezaji wanazungumza nae na mazungumzo yalikuwa yanafikia tamati juu ya kuifufua ATCL!!! Hakuna chochote alichofanya mpaka shirika sasa liko hoi bin taaban!! Akipata uwaziri itakuwa kwa vile anatoka Bagamoyo na si kwa utendaji!!

naaaaaaam huyu si ndio alijisifia kujenga matundu manne ya vyoo kwa mil 700!!!!!!????
atabebwa tu ndugu yake wote watoto wa bagamoyo hao
 
ntafurahi sana nikisikia Kibonde wa Cluds FM kawa waziri wa mambo ya katiba
 
Sisiemu siwapendi sana lakini Mh.6 namkubari akipewa uwaziri mkuu Mwake.Nitafurahi sana

Magufuri akikosa uwaziri nitashangaa sana

Wanawake wakizidi watatu kwenye Baraza zima nitachukia sana (Napenda wawe wawili tu au mmoja.)
 
Mzee Mwanakijiji, Edward Ngoyai Lowasa akirudishwa kuwa PM, mimi nitafurahi kwa dhati kutokana na track record yake ya utendaji, ukiondoa his role kwenye Richmond.

Huko nyuma ilishawahi kutokea
Kawawa alikuwa PM 22 January 1962 mpaka 9 December 1962 post ilipofutwa. Akarudishwa tena 17 February 1972 hadi 13 February 1977

Edward Moringe Sokoine alikuwa PM 13 February 1977 hadi 7 November 1980 akawa too much, akaondolewa akaletwa Cleopa David Msuya 7 November 1980-24 February 1983, Moringe akarudishwa tena 24 February 1983-12 April 1984 alipoitwa mbele ya haki.

Msuya akarudishwa tena 7 December 1994-28 November 1995.

Nawaombeni tusimchukie Lowassa kwa chuki binafsi, tuchukie matendo yake na kuyalaani kwa nguvu zote, lakini yeye kama binadamu hakuna mkamilifu, asamehewe, penitentiary aliyokaa imemtosha, amejifunza, atajirekebisha.

Pasco.


nakubaliana na wewe jamaa kwenye utendaji yuko vizuri,pia alionyesha uwajibikaji baada ya kashfa ya RICHMOND.but sina uhakika kama hatajihusisha na ufisadi mwingine.
 
Nitashangaa sana wafuatao wakirudishwa kwenye baraza la mawaziri kutokana na udhaifu wao: sophia simba, juma kapuya, william ngeleja, hawa ghasia, jumanne maghembe, mustafa mkullo,
 
Lowasa, rostam watu waliochangia asilimia kubwa kutafuna keki ya taifa kwa ubinafsi na kuiweka gvt mfukoni, sofia simba upeo wake mdogo mno, Hawa ntafurahi pombe magufuli sote tunamjua, mwakyembe ameonyesha kazi nzuri na tume ya richmomd iliyomshinda hosea.
Kilango na sendeka wabaki kawaida kuchangamsha bunge
Mwisho hosea aondolewe pccb
 
Huu utaratibu mzima wa kuteua wabunge kuwa mawaziri bado unanishangaza sana kwa nchi yenye matatizo ya utawala bora kama Tanzania ya leo.
Nasubiri kulishangaa baraza zima kwa ujumla.
 
Kuna watu/mtu ambaye ukisikia kapewa Uwaziri au hata Unaibu utashangaa, utasikitika au utafurahia, ni yupi huyo?[/
Mkuu sasa unataka sisi wengine tuache kusoma makala zako kwenye Raia mwema.Huwezi kuja na hoja laini na maswali kama haya badala yake tulitegemea kuja na uchambuzi wenye kumulika mwelekeo wa CCM(serikali ya Kikwete) maana tayari uchaguzi wa Spika unatupa hali itakavyokuwa huko mbeleni.
Sina Mchango kwa hili.
 
Back
Top Bottom