Nani aliandika wimbo wa "Alikufa kwa ngoma".

Nani aliandika wimbo wa "Alikufa kwa ngoma".

Ule wimbo aliandikiwa na Jafari Mselemu aka Faza Ghetto, yeye ndiye aliekuwa anategemea beats zote kipindi hiyo pale Bongo Record kwa Majani. Na kama unaamini hii story we gonga like tu hapo chini, na nina uhakika wewe utaamini kitu chochote kile cha kuambiwa.
Huelweki
 
Nimepita kitaa kimoja nikakuta wana wanabishana kubusu ule wimbo wa Mwanana FA unaoitwa alikufa kwa ngoma. Kuna mwana alikuwa anadai kuwa ule wimbo FA aliimba tu but mistari ilichorwa na p mwingne. Sijui hizi story ni za kweli, mwenye uelewa zaidi anisaidie.
Wimbo huu ni wa Lady Jay Dee ila?kamshirikisha mwwna fa
 
Nimepita kitaa kimoja nikakuta wana wanabishana kubusu ule wimbo wa Mwanana FA unaoitwa alikufa kwa ngoma. Kuna mwana alikuwa anadai kuwa ule wimbo FA aliimba tu but mistari ilichorwa na jamaa mwingne. Sijui hizi story ni za kweli, mwenye uelewa zaidi anisaidie.
Kwan tatizo lako ni nini? Haya hayakuhusu wewe sikiliza wimbo sepa
 
Nimepita kitaa kimoja nikakuta wana wanabishana kubusu ule wimbo wa Mwanana FA unaoitwa alikufa kwa ngoma. Kuna mwana alikuwa anadai kuwa ule wimbo FA aliimba tu but mistari ilichorwa na jamaa mwingne. Sijui hizi story ni za kweli, mwenye uelewa zaidi anisaidie.
unauliza for who's benefit?
 
Back
Top Bottom