- Thread starter
- #21
Ok. So maana yake ni nzuri tu au inatumika isivyo? Why sisi tuwaige Wakenya na tusitumie tu maneno kama "Hayati" au "Marehemu"Wakenya Ndio wanalitumia hili neno 'Mwendazake ' wakimaanisha mtu alieaga dunia.
Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app