Nani aliclassify majina haya jamani. Ilikuja automatically au?

Nani aliclassify majina haya jamani. Ilikuja automatically au?

Chikenpox

JF-Expert Member
Joined
Oct 15, 2022
Posts
784
Reaction score
1,246
Nimekuwa nikijiuliza Sana swali hili kwamba ni nani aliclassify majina haya kiasi ambacho mwanaume akiitwa Rachel au Diana kuwa ni kosa au mwanamke kuitwa juma au Gabriel ni kosa. Au muislam kuitwa John au mkristo kuitwa Abdul kwamba eti nalo ni kosa.

Mi navyojua wewe kuitwa flani labeling tu ambayo ili usipotee. Sasa inakuwaje jina flani ni haraam na jingine ndo linafaa.
 
Nimekuwa nikijiuliza Sana swali hili kwamba ni nani aliclassify majina haya kiasi ambacho mwanaume akiitwa Rachel au Diana kuwa ni kosa au mwanamke kuitwa juma au Gabriel ni kosa. Au muislam kuitwa John au mkristo kuitwa Abdul kwamba eti nalo ni kosa.

Mi navyojua wewe kuitwa flani labeling tu ambayo ili usipotee. Sasa inakuwaje jina flani ni haraam na jingine ndo linafaa.
Dini na ukoloni..majina yetu ya asili ya kiafrika yakapotea.

Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
 
Wapo wanaitwa majina hayo na majina ya viumbe vingine au vitu

Wapo wanaitwa achieng ni jina la kike kwa wakurya

Wapo wakina zawadi na wakina gift lakini wengi wao wana wake ila wanaume baadhi wana itwa kwa majina hayo

Wapo wenye majina ya vitu na wanyama

Kama chuma, tembo, mapunda, katembo nk

Ni wewe kuamua na kuita wanao au kubadili jina na kujiita aisha au mwajuma

Wapo wana wake wanaitwa ashraf na wanaume pia...
 
Ideally majina yaliwekwa ili yatambulishe asili yako na jinsia ingawa sasa mambo yanevuruguka
 
Nimekuwa nikijiuliza Sana swali hili kwamba ni nani aliclassify majina haya kiasi ambacho mwanaume akiitwa Rachel au Diana kuwa ni kosa au mwanamke kuitwa juma au Gabriel ni kosa. Au muislam kuitwa John au mkristo kuitwa Abdul kwamba eti nalo ni kosa.

Mi navyojua wewe kuitwa flani labeling tu ambayo ili usipotee. Sasa inakuwaje jina flani ni haraam na jingine ndo linafaa.
Usije ukafikia mahala kuulizia aliye classfy jinsia na kuwapatia wanadamu kila jinsia na umbo lake.

Ukitaka kufahamu maana ya hilo swali lako inabidi kwanza ujifunze maana ya hayo majina maana ukisema aisha au raheli ( mnamuita Rachel) ni lugha ngeni. Hebu tulwtee majina ya lugha yenu na maana zake naamini utaanza kuelewa maana bwana Hawa
 
Wamarekani kuna majina wanaume na wanawake wanatumia..
Tracy ..
Rose..
Na mengineyo mengi..

Wamakonde Wana majina Hadi ya redio... Panasonic Juma...

Wasukuma hawajali dini...unakuta Abdul mkristo...John muislam...etc
 
Uliyoyawwza niliyawaza nikiwa standard 3
 
Nimekuwa nikijiuliza Sana swali hili kwamba ni nani aliclassify majina haya kiasi ambacho mwanaume akiitwa Rachel au Diana kuwa ni kosa au mwanamke kuitwa juma au Gabriel ni kosa. Au muislam kuitwa John au mkristo kuitwa Abdul kwamba eti nalo ni kosa.

Mi navyojua wewe kuitwa flani labeling tu ambayo ili usipotee. Sasa inakuwaje jina flani ni haraam na jingine ndo linafaa.
Confict of interest tu...
 
Back
Top Bottom