Nani aligundua pesa na lini ilianza kutumika?

Nani aligundua pesa na lini ilianza kutumika?

Ukifuatilia dhana ya kidunia utagundua kuna uongo mkubwa sana juu ya matumizi na kuanzishwa kwa pesa...
Nimefuatilia kwa wasomi wanasema pesa imeanza kutumika kuanzia Miaka ya 1870+,Hii ni baada ya mapinduzi ya viwanda.
Na nimeambiwa waingereza ndio taifa la kwanza kuanza kutumia pesa...
Lakini napatwa na ukakasi juu ya hizo za kisomi ambazo wengi humu jf mnaziamini baada ya kudanganywa na wazungu...
Hoja yangu ya msingi ni kwamba ukifuatilia mtazamo wa kidini mfano biblia ukifuatilia kitabu cha luka19 utakutana na jina la mtoza ushuru Zakayo kumbuka alikuwa anatoza pesa..ukimsoma zakayo anaelezwa alikuwa tajiri wa Mali na pesa..
Pia Qurani inameeleza kiunaga ubaga kuhusu dhambi ya riba surah Al baqarah 2 surah 275 utaona dhambi ya riba...
Hivi vitabu vilianza kabla ya 1870+ swali la msingi kwann wazungu wanatudanganya?
Middle east ndio walianza kutumia pesa au mmesahau yuda alimsaliti yesu kwa vipande30 vya pesa?
Katika hili lazima tutafakari na kupeana majibu ya maana....
Karibu tujadili pamoja...

Sent using Jamii Forums mobile app
Duuu ya duniani haya yaumiza kichwaaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Asante mkuu Kwa hyo saivi zinatengenezwa kwa thamani ya dhahabu au thamani ya nn na nani anazozitengeneza? Na hao wanaotengeneza wanatumia vigezo vipi!
Pesa kimsingi ni kitu ambacho jamii fulani imekubaliana kuwakilisha thamani wakati wa kununua au kuuza bidhaa na huduma au kuhifadhi Mali. Thamani ya pesa haipo katika yenyewe Bali katika fikra za watumiaji wake.


Binadamu wa kwanza hakutumia pesa, na jamii ya kwanza ya wakulima katika Agricultural Revolution hakutumia pesa mwanzoni, bali walitumia barter trade yaani kubadilishana Mali kwa Mali. Lakini baada ya kazi kuimarika na miji kujengeka na watu Kuwa na specialization ubadilishanaji wa bidhaa ulikuwa mgumu kutokana na ugumu wa kuthaminisha bidhaa moja na bidhaa nyingine.


Kutokana na hilo ndipo ilipoanza pesa katika aina mbalimbali kama simbi (shells), Sarafu, ngozi, chumvi, Shanga, noti nk. Simbi zimetumika hapa Afrika Mashariki na pengine duniani kwa zaidi ya miaka 4000.


Pesa ya kwanza inasemekana iliundwa mnamo mwaka 3000 BC, huko Mesopotamia ikiitwa Shekeli ambapo shekeli moja ilikuwa sawa sawa na Gramu 8 za Silver. Na Sarafu ya,kwanza iliundwa Miaka ya 640 BC na Mfalme Alyates huko Lydia Anatolia ndio Sarafu iliyokuwa na chapa ya kiasi cha madini pamoja na mamlaka iliyotoa Sarafu hiyo, kawaida ilikuwa katika madini ya silver na dhahabu.




Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi ninavyojua kwanza ilianza biashara yakubadilishana vitu kwa vitu. Baadae mwingereza akafikilia atengeneze kitu ambacho kitamiliki vitu vyote .

Sent using Jamii Forums mobile app
Naam ilikuwa inaitwa Barter Trade.

Vitabu vingi vya historia na historia ya manabii mbalimbali inaeleza kuwa walikuwa wanabadilishana mali kwa mali kulingana na thamani za mali hizo, wengine walikuwa wanalipwa mali baada ya kufanya kazi(kibarua) fulani. Hizo mali pia waliziita Ngawira.

Kadri teknolojia ilivyokuwa inaimarika ndipo pesa ikagunduliwa kwa kuthamanishwa na mali mbali mbali ili iwe rahisi katika ufanyaji wa biadhara na umiliki wa mali.

Sasa mtu halisi/Taifa halisi lililoanza kutumia pesa ndio kuna mkanganyiko mkubwa.
 
Ukifuatilia dhana ya kidunia utagundua kuna uongo mkubwa sana juu ya matumizi na kuanzishwa kwa pesa...
Nimefuatilia kwa wasomi wanasema pesa imeanza kutumika kuanzia Miaka ya 1870+,Hii ni baada ya mapinduzi ya viwanda.
Na nimeambiwa waingereza ndio taifa la kwanza kuanza kutumia pesa...
Lakini napatwa na ukakasi juu ya hizo za kisomi ambazo wengi humu jf mnaziamini baada ya kudanganywa na wazungu...
Hoja yangu ya msingi ni kwamba ukifuatilia mtazamo wa kidini mfano biblia ukifuatilia kitabu cha luka19 utakutana na jina la mtoza ushuru Zakayo kumbuka alikuwa anatoza pesa..ukimsoma zakayo anaelezwa alikuwa tajiri wa Mali na pesa..
Pia Qurani inameeleza kiunaga ubaga kuhusu dhambi ya riba surah Al baqarah 2 surah 275 utaona dhambi ya riba...
Hivi vitabu vilianza kabla ya 1870+ swali la msingi kwann wazungu wanatudanganya?
Middle east ndio walianza kutumia pesa au mmesahau yuda alimsaliti yesu kwa vipande30 vya pesa?
Katika hili lazima tutafakari na kupeana majibu ya maana....
Karibu tujadili pamoja...

Sent using Jamii Forums mobile app

Nafikiri Hayo ya kwenye biblia siyo pesa hii tunayoitumia leo.

Yalikuwaga aina flani ya madini ndiyo walikuwa wanayaitaga fedha
 
Ukifuatilia dhana ya kidunia utagundua kuna uongo mkubwa sana juu ya matumizi na kuanzishwa kwa pesa...
Nimefuatilia kwa wasomi wanasema pesa imeanza kutumika kuanzia Miaka ya 1870+,Hii ni baada ya mapinduzi ya viwanda.
Na nimeambiwa waingereza ndio taifa la kwanza kuanza kutumia pesa...
Lakini napatwa na ukakasi juu ya hizo za kisomi ambazo wengi humu jf mnaziamini baada ya kudanganywa na wazungu...
Hoja yangu ya msingi ni kwamba ukifuatilia mtazamo wa kidini mfano biblia ukifuatilia kitabu cha luka19 utakutana na jina la mtoza ushuru Zakayo kumbuka alikuwa anatoza pesa..ukimsoma zakayo anaelezwa alikuwa tajiri wa Mali na pesa..
Pia Qurani inameeleza kiunaga ubaga kuhusu dhambi ya riba surah Al baqarah 2 surah 275 utaona dhambi ya riba...
Hivi vitabu vilianza kabla ya 1870+ swali la msingi kwann wazungu wanatudanganya?
Middle east ndio walianza kutumia pesa au mmesahau yuda alimsaliti yesu kwa vipande30 vya pesa?
Katika hili lazima tutafakari na kupeana majibu ya maana....
Karibu tujadili pamoja...

Sent using Jamii Forums mobile app
Pesa ni nembo iliyokubalika na jamii husika kuwa media(njia) ya manunuzi ya bidhaa nakadhalika. Nembo hiyo inaweza kuwa chuma,shaba, karatasi, bronze, hata kitu chochote kile. Mfano zaman falme mbalimbali zilitumia shaba, chuma (ina kuwa na muundo maalum sio yoyt) katiba ununuzi. Kutumia madini hayo katika ununuzi ilitegemeana na upatikanaji wake, (kuadimika) . Kwahyo toka zaman pesa ilikuwepo (currency) . Ila imezidi kubadilika kulingana na maendeleo ya mwanadam, yaan ikawa modified kulingana na nyakati mbalimbali mpk leo!! Si ajabu huko mbeleni pesa za sarafu na not tunazotumia leo zikatoweka na kuja zingine
 
Kiasili watu walibadilishana vitu kwa mfano ng'ombe mmoja kwa mbuzi kadhaa au mazao kwa samaki n.k.
Katika lugha ya Kilatini asili hiyo ya pesa imehifadhiwa; neno kwa pesa ni "pecunia" inayotokana na "pecus" = mifugo. Waliendelea kusema "pecunia" kwa karne nyingi hata baada ya kuwa na darafu.

Baadaye imeonekana ya kwamba itasaidia zaidi kama kiwango fulani inapatikana kwa vitu vyote. Mfano "shekel" wa Babeli (mji ule wa Biblia) ilikuwa sawa na punje za nafaka 160 hivi.

Metali zilizokuwa haba zilitumiwa kama kipimo hiki, kwa mfano dhahabu (gold), fedha (silver) au shaba (copper). Vilipimwa kufuatana na uzito. Kulikuwa pia na maeneo walipotumia vipande vya chuma, kiasi fulai cha chumvi, au kombe za "kauri". Sharti kitu kilikuwa haba katika eneo walipokitumia.

Hatua iliyofuata ilikuwa kutumia vipande vya metali hizi vilivyogongwa mihuri halafu hapakuwa na lazima ya kuvipima kimoja-kimoja. Inavyojulikana Wachina walikuwa watu wa kwanza waliochukua hatua hii katika milenia ya 2 KK. Hii ilikuwa mwanzo wa sarafu (coins).

Pesa hutolewa na serikali ya nchi au na taasisi kama benki kuu inayofanya kazi hii kwa niaba ya serikali. Mwanzoni sarafu ilikuwa sawa na kiasi fulani cha dhahabu au fedha.

Hatua nyingine ilikuwa kutolewa kwa pesa ya karatasi au benknoti zilizoahidi kumpatia mtu yeyote kiasi kilichoandikwa kwa dhahabu au fedha yenyewe. Kwa muda mrefu benki kuu zilikuwa na hazina ya dhahabu iliyolingana na kiasi cha benknoti zilizochapishwa.

Tangu mwisho wa karne ya 20 nchi kadhaa zilianza kutoa benknoti za plastiki kwa sababu zinadumu kushinda noti za karatasi, tena ni vigumu zaidi kwa wajanja kutengeneza pesa bandia.

Katika karne ya 20 nchi zote zilifanya hatua ya kuacha makadirio ya dhahabu kwa sababu thamani ya bidhaa katika jamii ilipita kiasi cha dhahabu iliyopatikana. Siku hizi jumla ya pesa inayotolewa inatakiwa kulingana na thamani ya rasilmali ya taifa fulani.

Pale ambako serikali inachapisha benknoti kushinda kiwango hicho, thamani ya pesa inashuka na mfumko wa bei unatokea.
 
Ukifuatilia dhana ya kidunia utagundua kuna uongo mkubwa sana juu ya matumizi na kuanzishwa kwa pesa...
Nimefuatilia kwa wasomi wanasema pesa imeanza kutumika kuanzia Miaka ya 1870+, Hii ni baada ya mapinduzi ya viwanda.
Na nimeambiwa waingereza ndio taifa la kwanza kuanza kutumia pesa

Lakini napatwa na ukakasi juu ya hizo za kisomi ambazo wengi humu jf mnaziamini baada ya kudanganywa na wazungu...
Hoja yangu ya msingi ni kwamba ukifuatilia mtazamo wa kidini mfano biblia ukifuatilia kitabu cha luka19 utakutana na jina la mtoza ushuru Zakayo kumbuka alikuwa anatoza pesa..ukimsoma zakayo anaelezwa alikuwa tajiri wa Mali na pesa

Pia Qurani inameeleza kiunaga ubaga kuhusu dhambi ya riba surah Al baqarah 2 surah 275 utaona dhambi ya riba...
Hivi vitabu vilianza kabla ya 1870+ swali la msingi kwanini wazungu wanatudanganya?

Middle East ndio walianza kutumia pesa au mmesahau Yuda alimsaliti Yesu kwa vipande30 vya pesa?
Katika hili lazima tutafakari na kupeana majibu ya maana

Karibu tujadili pamoja

Sent using Jamii Forums mobile app

Nani aligundua pesa na lini ilianza kutumika?​

ukweli kwamba pesa zilianzishwa na watu katika jamii, sio serikali.

Nani anaweza kutupa historia ya pesa?

Pesa zilitokea kama suluhisho kwa changamoto za biashara, hasa katika mfumo wa kubadilishana bidhaa.

Katika mifumo ya awali ya biashara (barter), ilikuwa ni ngumu kwa watu kupata "double coincidence of wants," ambapo kila mtu alikubali bidhaa ya mwingine kwa sababu walikuwa wanahitaji bidhaa hiyo.

Hivyo, mahitaji ya kuwa na kipimo thabiti cha thamani ili kuwezesha biashara yalipelekea kuanzishwa kwa sarafu na mfumo wa pesa.

Pesa zilianza kama zana ya kubadilishana thamani na ilikua katika soko, na siyo kama uvumbuzi wa serikali.

Kama ilivyo kwa vitu vingine vya kiasili kama kijiko au kompyuta binafsi, pesa zilitokea kwa asili ili kutatua tatizo katika biashara.

Serikali ilikuja baadaye kuweza kudhibiti na kudumisha mfumo wa pesa kwa manufaa ya uchumi wa taifa.
Kwa hivyo, watu ndiyo waliokuwa wa kwanza kutambua umuhimu wa pesa kama kipimo cha thamani na chombo cha biashara, na serikali ikaja baadaye kutoa mfumo rasmi wa kudhibiti fedha hizo.

kubadilika kwa thamani ya pesa (yaani Mfumuko wa Bei) ni wizi
 
Ukifuatilia dhana ya kidunia utagundua kuna uongo mkubwa sana juu ya matumizi na kuanzishwa kwa pesa...
Nimefuatilia kwa wasomi wanasema pesa imeanza kutumika kuanzia Miaka ya 1870+, Hii ni baada ya mapinduzi ya viwanda.
Na nimeambiwa waingereza ndio taifa la kwanza kuanza kutumia pesa

Lakini napatwa na ukakasi juu ya hizo za kisomi ambazo wengi humu jf mnaziamini baada ya kudanganywa na wazungu...
Hoja yangu ya msingi ni kwamba ukifuatilia mtazamo wa kidini mfano biblia ukifuatilia kitabu cha luka19 utakutana na jina la mtoza ushuru Zakayo kumbuka alikuwa anatoza pesa..ukimsoma zakayo anaelezwa alikuwa tajiri wa Mali na pesa

Pia Qurani inameeleza kiunaga ubaga kuhusu dhambi ya riba surah Al baqarah 2 surah 275 utaona dhambi ya riba...
Hivi vitabu vilianza kabla ya 1870+ swali la msingi kwanini wazungu wanatudanganya?

Middle East ndio walianza kutumia pesa au mmesahau Yuda alimsaliti Yesu kwa vipande30 vya pesa?
Katika hili lazima tutafakari na kupeana majibu ya maana

Karibu tujadili pamoja

Sent using Jamii Forums mobile app
Middle East ndio walianza kutumia pesa au mmesahau Yuda alimsaliti Yesu kwa vipande30 vya pesa?
Katika hili lazima tutafakari na kupeana majibu ya maana...

Yesu haupewa PESA alitaka kupewa VIPANDE VYA 30 FEDHA=SILVER.
 
Pesa iliumbwa, muziki uliumbwa, lugha ziliumbwa vyote hivi Ni viumbe kabisa. Hata akili pia ziliumbwa
 
Back
Top Bottom