Nani aliipa jina la 'Taifa Stars' timu yetu? Linabeba ama kutangaza kitu gani kwa Nchi yetu?

Jina liitwe 'Burigi-Chato Stars'
 
England ni "three lions" hao wengine sijui.
JAPO NAKILI SIJUI nickname ZAO ILA wenzetu wanatimu zao zinaitwa
ENGLAND
SPAIN
BELGIUM
BRAZIL
CROATIA
KWANINI TUSIJIITE TU TANZANIA? KAMA LINAUKAKASI KULINGANA NA MUUNDO WA MUUNGANO WETU BASI WATAFUTE JINA JINGINE NA SIO MAMBO YA WANYAMA.
 
Majina hayana effects yoyote kiufundi au kiuwezo uwanjani

Mpira ni technics na uongozi mzuri, majina ni kitambulisho au nembo tu.
 
Hivi kuna uwezekano wa kuongea masuala mengine yasiyo ya kisiasa bila kuweka siasa?
Huu ni utaahira.

TAIFA ni sawa kwani linawakilisha uniqueness kwa ushahidi wa utaifa wenye nguvu(ukilinganisha na nchi zingine zenye ukabila n.kj). Ni kwa kuwa hatuja perform vizuri tu otherwise jina bado zuri.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…