Nani alikusaidia kupata kazi unayoifanya?

Shemeji yangu

Binafsi Nilikuwa napenda saana jeshi

Baada ya kumaliza Six nikaenda chuo nikasoma miezi miwili Shemeji yangu akaja chuo akanirudisha home

Then akanipekeka chuo cha diploma nikapiga technical course moja 3 years
Siku nachukua cheti kesho yake nikadandia ndege mpaka kigoma nikaenda kuanza kazi kwenye mamlaka moja bila usahili wala nini

Ubarikiwe saana shemeji yangu huna baya
 
πŸ‘πŸ»πŸ‘πŸ»
 
πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…sasa alinunia nini Jamani
 
Jitihada bunafsu nilifanya application 1 tu ikaniipa kazi ya 1,kazi ya kwanza ikanipa kazi ya 2,kazi ya pili ikanifanya nipate kazi ya 3 niliyo nayo sasa.
πŸ‘πŸ»πŸ‘πŸ»πŸ‘πŸ»
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…