Salehe Jabir brother ake Salama Jabir ndiyo Msani wa kwanza wa Bongo flv
unauhakika hao ni ndugu?
Saleh Jabir sio msanii wa kwanza wa bongo flavor,miondoko ya kurap ilikuwepo sema ilikuwa ya kiingereza sema Jabir alifanya kwa kiswahili.
Saleh Jabir sio msanii wa kwanza wa bongo flavor,miondoko ya kurap ilikuwepo sema ilikuwa ya kiingereza sema Jabir alifanya kwa kiswahili.
point yako ni nzuri ila swali ni muziki wa bongo fleva ni upi?
Baadhi ya beti anaimba "kama Hunipendi yoo kacheze sitapenda wengi kama maumba "Saleh Jabr. Alitamba na vibao cha "ice ice baby" na mwingine sijui unaitwaje but alikuwa anatumia rythm na beat ya wimbo wa Chakka Demus & Plius wa "murder she wrote" hiyo ilikuwa ni early 90's
Saleh Jabir ni msanii wa kwanza kurekodi album ya rap kwa kiswahili hapa Tanzania ... Ila kujua msanii wa kwanza ni ngumu maana harakati zilianza kitambo mitaani kabla ya kuanza utaratibu wa matamasha kwenye mashule na baadae mashindano ya rap ....Harakati zilikuwepo hasa Dar, Morogoro, Mbeya, Tunduma na Arusha .....muziki huo kuitwa Bongo fleva ni baadae sana na neno lenyewe Bongo fleva lilianzishwa na producer Nguli P Funk Majani wa Bongo Record ....
James Dandu alishuka TZ kutoka Sweden wakati Bongo Flavor imeshashika chat na watu wameshaachana na Umarekani!!vp kuhusu cool james mtoto wa dandu..??
Maelezo yako ya awali ni sahihi lakini Ice Ice Baby alitumia beat ya Vanilla Ice na wimbo wa Vanilla ulikuwa unaitwa hivyo hivyo... Ice Ice Baby!Saleh Jabr. Alitamba na vibao cha "ice ice baby" na mwingine sijui unaitwaje but alikuwa anatumia rythm na beat ya wimbo wa Chakka Demus & Plius wa "murder she wrote" hiyo ilikuwa ni early 90's
Saleh Jabir ni msanii wa kwanza kurekodi album ya rap kwa kiswahili hapa Tanzania ... Ila kujua msanii wa kwanza ni ngumu maana harakati zilianza kitambo mitaani kabla ya kuanza utaratibu wa matamasha kwenye mashule na baadae mashindano ya rap ....Harakati zilikuwepo hasa Dar, Morogoro, Mbeya, Tunduma na Arusha .....muziki huo kuitwa Bongo fleva ni baadae sana na neno lenyewe Bongo fleva lilianzishwa na producer Nguli P Funk Majani wa Bongo Record ....