mwanamabadiliko
JF-Expert Member
- Oct 30, 2010
- 938
- 1,540
Chid na squeezer ni noumaChidbenz, Lord eyez, chindo man, geez mabovu, mchizi mox , dudu baya, dark master, Bou nako, squeezer, Hawa watu wamebarikiwa sauti nzito
Huyu namba 3 huyu ni nouma mzeeBongo land hii pametokea watu ambao walikuwa wasanii ambao pia walikuwa na sauti nzito kweli kweli kwenye kurap, wengine walikuwa wanajifanyisha, wengine ni za kwao za asili, je kati ya hawa nani alikuwa na sauti asili
1. Mchizi Mox
2.Kala pina
3.Chid benzino
4.Geez mabovu
5.Jay moe
6. Squizer
Tuseme ukweli
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] kweli tunasafari ndefu sanaTunajadili upumbavu na hatuoni aibu. Pumbavu sana
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] kweli tunasafari ndefu sana
Mchizi Mox ndio sauti real wengine walikuwa wanaigiza tu.Bongo land hii pametokea watu ambao walikuwa wasanii ambao pia walikuwa na sauti nzito kweli kweli kwenye kurap, wengine walikuwa wanajifanyisha, wengine ni za kwao za asili, je kati ya hawa nani alikuwa na sauti asili
1. Mchizi Mox
2.Kala pina
3.Chid benzino
4.Geez mabovu
5.Jay moe
6. Squizer
Tuseme ukweli
Hadi solothang?Mchizi Mox ndio sauti real wengine walikuwa wanaigiza tu.
WOte.Hadi solothang?