mwanamabadiliko
JF-Expert Member
- Oct 30, 2010
- 938
- 1,540
Bongo land hii pametokea watu ambao walikuwa wasanii ambao pia walikuwa na sauti nzito kweli kweli kwenye kurap, wengine walikuwa wanajifanyisha, wengine ni za kwao za asili, je kati ya hawa nani alikuwa na sauti asili
1. Mchizi Mox
2.Kala pina
3.Chid benzino
4.Geez mabovu
5.Jay moe
6. Squizer
Tuseme ukweli
1. Mchizi Mox
2.Kala pina
3.Chid benzino
4.Geez mabovu
5.Jay moe
6. Squizer
Tuseme ukweli