Joseph Sinde Warioba. It was 1990.Alikuwa Prof Kighoma Malima rip
Dah!....kitambo aiseeJoseph Sinde Warioba. It was 1990.
Kweli alikuwa ni Prof KA Malima, kipindi yale makundi yameshamiri. Ile hali haikuwa nzuri maana uhasama ulikuwa juu SanaAlikuwa Prof Kighoma Malima rip
Kama uliweza kupata hizi details ulishindwaje kujua jina la huyo Waziri? Wacha unaa hapa.Inatajwa kuwa miaka ya 1980s kuelekea 90s Mzee Mwinyi akiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania alivunja Baraza lake la mawaziri.
- Nini kilimfanya alivunje baraza hilo
- Inasemekana kuna waziri mmoja alimfuata Mzee Mwinyi in person kumuuliza kama na yeye (huyo waziri) anahusika (inasemekana alimuuliza "Mzee na mimi?") Mzee akamjibu, kama wewe ni Waziri basi tangazo linakuhusu.
Kweli alikuwa ni Prof KA Malima, kipindi yale makundi yameshamiri. Ile hali haikuwa nzuri maana uhasama ulikuwa juu Sana
Asije Tena akaotokea kiongozi kuruhusu hali ile, lilikuwa si Jambo la busara kutukana waumini toka asubuhi Hadi jioni pale mnazi mmoja.
Sad, usomi wake haukuwa na tijaKweli alikuwa ni Prof KA Malima, kipindi yale makundi yameshamiri. Ile hali haikuwa nzuri maana uhasama ulikuwa juu Sana
Asije Tena akaotokea kiongozi kuruhusu hali ile, lilikuwa si Jambo la busara kutukana waumini toka asubuhi Hadi jioni pale mnazi mmoja.
Na mzee wa karate, imamu wa msikiti wa mwembechai sheikh Omary Bashir RIPEnzi za legend Ustaadh Ngariba Mussa Fundi, muasisi wa mihadhara 1985 hiyo.
Ilikuwa hivi: Siku hiyo Mwinyi aliwaita Ikulu mawaziri wake wote kwa mkutano. Walipofika na kuketi aliwagawia wote karatasi blank na kuagiza kila mmoja aandike kuwa anajiuzulu.
Hapo ndipo PM Warioba akasomama na kutaka ufafanuzi kwamba hata yeye PM?
Mwinyi akamjbu ndiyo, hata wewe kwani wewe ni waziri pia.
Inadaiwa baadhi ya mawaziri walitoka Ikulu kwa miguu na kupanda taxi kurudi kwao kwani waliambiwa magari wayaache pale.